Zulu man
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 6,084
- 15,998
Unatunafikia wakulima?Wenye ela zao hao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unatunafikia wakulima?Wenye ela zao hao
Kuna moja iko Arusha 1.3 per month iko poa kabisa sema kupata ndio mziki.Bajeti chini ya laki moja, hiyo apartment si itakuwa ya kinyau sana?
Lazy lagoonWapi pazuri ambapo hapana makelele ... maana budget hairuhusu kwenda serena
Mtu ajiue halafu aache hii note. Watu watazunguka kudecode hadi parapanda italiaTumeaza kula maisha
Msisahau kunipa location. Na demu mnitafutie (akiwa na sura ya babaake atakuwa wenu). Kwa upande wa hapa mualikeniTumsaidie kuchagua hapo bila kusahau plan vacation yetu ,usisahau kumpatia mwaliko mshamba_hachekwi na babe wake
Tumsaidie kuchagua hapo bila kusahau plan vacation yetu ,usisahau kumpatia mwaliko mshamba_hachekwi na babe wake
Mkulima haendi vakesheniUnatunafikia wakulima?
Yeah ndio maana hatujafungua thread ya uhitaji zaidi ya kugoogle hizo sehemu na kumletea anayeenda😅😅Mkulima haendi vakesheni
We sio mkulima bana
na medication piaNaweka kambi hapa…
Baecation
Vacation
friendcation
Ndo vitu nipendazo… [emoji91][emoji91]
Siyo kila mtu ana ndugu kijijini.Kwanini usirudi nao huko kwenu kijijini wawajue ndugu zao, ama ni nyumba za nyasi
Wadau anaejua hoteli au lodge nzuri ya kuchili na familia msimu wa Desemba anipe machimbo.
Price isizidi laki Kwa siku. December hii sisafiri pia hatutaki kashi kashi.
Asante.
NB. Ikiwa Dar iwe sehemu isiyo na makelele.
Kuna moja iko Arusha 1.3 per month iko poa kabisa sema kupata ndio mziki.