figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Good lucky man! elfu.
Labda kashapata.asante sana mkuu. lakini huyu Latoya anaonekana ana mambo ya kitanzania sana. Nashangaa hadi sasa hivi hajajibu pm yangu, nahisi huyu binti ana macho mia mia ndo maana anakosa msimamo lakini sikati tamaa. mia
I need a male figure in my life kwa sasa,ila awe rafiki tu
Labda kashapata.
mia
Hapana cjapata aliye serious aweza nipm niko strict ktk kukeep promc
Wapendwa mimi ni binti wa mid 20's natafuta mwanaume wa kunipa kampani,ni strictly kampani no sex involved.niko lonely nahitaji mwanaume wa kuwa karibu nami kama rafiki na kuspend time especialy weekends.maelezo mengine nitayatoa pm kwa interested person.
^^
You can't be serious,
Siamini binti wa mid 25 uwe mpaka sasa hujapata..
Chezea PM za Jf !!
^^
Hehehe hawako serious c wajua vijana tena? Real am looking for a male friend and nothingelse
^^
Pengine hawako serious na urafiki kutokana na vigezo unavyotaka wewe kutokuwa wazi.
Sidhani kama ni just urafiki tu wa kubadilishana mawazo,kushauriana ktk maisha,kazi n.k akose! Mimi mwenyewe nimesita ku PM kwa sababu kama hao wameshindwa basi Vigezo na mashariti ni too strict!
^^
Kama nilivyosema i just need a male friend,ila mie nko strict sana kwenye appointment wengi panawashinda hapo nimeamua kuweka mikono chini na kuendelea kuwa bize na kazi yangu
^^
Pengine hawako serious na urafiki kutokana na vigezo unavyotaka wewe kutokuwa wazi.
Sidhani kama ni just urafiki tu wa kubadilishana mawazo,kushauriana ktk maisha,kazi n.k akose! Mimi mwenyewe nimesita ku PM kwa sababu kama hao wameshindwa basi Vigezo na mashariti ni too strict!
^^
Kama nilivyosema i just need a male friend,ila mie nko strict sana kwenye appointment wengi panawashinda hapo nimeamua kuweka mikono chini na kuendelea kuwa bize na kazi yangu
Nashukuru wote mlonipm ntajibu kadri nipatavyo nafac,ila niko serious kuwa sex is not part ya hyo friendship,nataka rafiki only,waweza kuwa na mtu wako wa kungonoka naye ila kwangu ni friendship only,kama unania ya ngono naomba ukae pembeni tu
Wapendwa mimi ni binti wa mid 20's natafuta mwanaume wa kunipa kampani,ni strictly kampani no sex involved.niko lonely nahitaji mwanaume wa kuwa karibu nami kama rafiki na kuspend time especialy weekends.maelezo mengine nitayatoa pm kwa interested person.