Natafuta male friend

Natafuta male friend

Siko interested na sexmate i just need a friend, its possible to have a friend wa jinsi tofauti sema watz mnaendekeza sana ngono,thanx kwa views zako bt sex is not my priority for now
Unachokitaka kiko practically impossible! A male friend so close......! Unatoka nae wk moja baada ya nyingine! Hakuna r/ship za hivyo! You can only stay like that with your sister or brother!!

Sema unachotakiwa kukifanya!! Which I understand ni kwamba you definitely need a male companion. Something which can work ni kuweka hivo vigezo mbele kabisa Kwamba I we need to know each other! Mutual understanding leads to mutual respect which leads to Love!

Vinginevyo hao wanaume wote walioku PM wanataka kukugegeda tu! Utawatambua kwa matendo yao!
 
Siko interested na sexmate i just need a friend, its possible to have a friend wa jinsi tofauti sema watz mnaendekeza sana ngono,thanx kwa views zako bt sex is not my priority for now

you are definitely frigid!
You will be disappointed!
 
Matumbo kashfa za nini?hunijui so u dont have the right to speak ill of me

So, what u wanna do ??.... acha kujaza server ya JF apa sio sehemu ya kupunguzia stress zako...
 
loh labda we dume jike hupati mtu bila,mkono mtupu haurambwi weweeeee!
 
Kwi kwi kwi we nakupata sana ndo tabia yako una maneno ya shombo ila si tatizo lako ni neighbourhood uliyozaliwa na kukulia ndo imekuathiri
So, what u wanna do ??.... acha kujaza server ya JF apa sio sehemu ya kupunguzia stress zako...
 
au siumwambie tu baba yako hapo muwe naye coz hata kaka yako hawezi hiyo style atakugegeda tu na hata huyo baba yako ukikaa vibaya atakugegeda!
 
Kwi kwi kwi we nakupata sana ndo tabia yako una maneno ya shombo ila si tatizo lako ni neighbourhood uliyozaliwa na kukulia ndo imekuathiri

so can we be friends??i want to change if u can re-shape me..
 
Wapendwa mimi ni binti wa mid 20's natafuta mwanaume wa kunipa kampani,ni strictly kampani no sex involved.niko lonely nahitaji mwanaume wa kuwa karibu nami kama rafiki na kuspend time especialy weekends.maelezo mengine nitayatoa pm kwa interested person.
UTAMCHUNA!!??? AU UTATUMIA PESA YAKO KWENYE HIYO KAMPANI?? MAANA KAMA NI KUCHUNANA HAIFAI,KUNA MDOGO WANGU NAE YUPO LONELY..angekufaa shida ni uje kumchuna wakati hautoi hiyo naniliii!!
 
Strictly company tu,gharama kila mtu atajigharamia ila akitaka nimlipie bills i wil do that
UTAMCHUNA!!??? AU UTATUMIA PESA YAKO KWENYE HIYO KAMPANI?? MAANA KAMA NI KUCHUNANA HAIFAI,KUNA MDOGO WANGU NAE YUPO LONELY..angekufaa shida ni uje kumchuna wakati hautoi hiyo naniliii!!
 
Back
Top Bottom