Friedrich Nietzsche
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 2,095
- 3,649
- Thread starter
- #41
mbwa gan hanyikama hajisaidii mazingira ya nyumbani, maana yake huwa anazurura.
anyway, yuko vizuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbwa gan hanyikama hajisaidii mazingira ya nyumbani, maana yake huwa anazurura.
anyway, yuko vizuri
mbwa last born😂😂[emoji23] umejuaje,? maana ni kweli kabisa! Evelyn
Hili swala nilikua silijui mkuuwa kupewa utashindwa kumthamini. Mbwa anaanza kupata thamani unapokuwa umetoa pesa kumpata
mbwa ni matunzo na mafunzo. Mbwa wote ni Koko kama wakikosa mambo hayo mawili.
ndo mnisaidie kupataYes ndiyo bei zake kwa zamani au bure kama ulivyosema.
Ana pigo za ki last born, anajidekeza hapo....🤣🤣[emoji23] umejuaje,? maana ni kweli kabisa! Evelyn
wawalete wahehe watamaliza hao mbwaAseee katika maeneo yenye mbwa waliozagaa hovyo ni Mwanza, mara ya kwanza nilipoenda niliona kundi la mbwa kama 20 hivi, mwanzo nilidhani labda ni mbuzi, ile kucheki vizuri ni mijibwa tupu
Mbwa n vile ulvyomzoesha kama mbwa anaweza kunya hata kwenye ngaz hata angekua german shephad uyo n hajielw, mbwa onatakiwa akifunguliwa kabla ya kwenda kula hata kama chakula kipo mbele yake akimbie mpaka engle anayotakiw kukojoa au ku pu ndio arud kulakama hajisaidii mazingira ya nyumbani, maana yake huwa anazurura.
anyway, yuko vizuri
huyu hata mm nimemuelewa, mazingira yangu ndo hayaruhusu kufuga kwa sasaAtlset fika 100 nkupe huyu anachanjo zote anaoshwa kila jpl anafunguliwa usku tu hazuruli kama ao unaowaita wa kienyej na jina lake analifaham namwita chiko pia ajisaidii bandan kwake wala mazngra ya nyumban
View attachment 2962036
Wee kadadaa, mwaka 2019 ulikuwa na akili za kitoto?Mkuu hapo mwanza niliishi miaka ya 2019, aseee hivi hao mbwa wanaozurura mitaani wanatoka wapi? Alafu hata hawang'ati, nilkuwa na akili za kitoto skufkiria hata kuchunguza wenyeji kuhusu hilo
Nilkuwa nawaza ugali tu kumbe kuna beyond ugaliWee kadadaa, mwaka 2019 ulikuwa na akili za kitoto?
Ambao nao ni mtamu kuliko ugaliNilkuwa nawaza ugali tu kumbe kuna beyond ugali
Hapana mkuu ,dunia Hadaa..Ambao nao ni mtamu kuliko ugali
Yeah wanakuja kumpa mwongozo
huyu mkubwa kumfundisha inaweza kua kaziboss, ongea vzr nikuachie huyu. anaitwa maxi, ni jibwa kweli kweli. kibaka hakatizi! View attachment 2964400
Ukipata niambieMTAFUTE HUYU JAMAA 0785479181
Subiri Sky wangu akizaa ntagugawia mmja, alipandana na shepherd yeye ni mswahili wa huko Tangaaaaaaaaaaa.Nipo mwanza mjini natafuta mbwa
Bei iwe kitonga aisee sitaki mbwa wa kizungu.
Rangi: Nyeusi itapendeza zaidi
Tabia: Mkali sana
Bei: Isizidi elf 20
naww uko mwanZaSubiri Sky wangu akizaa ntagugawia mmja, alipandana na shepherd yeye ni mswahili wa huko Tangaaaaaaaaaaa.