Yaani unaenda hospital unakuta Daktari chenga Hadi mgonjwa unamshtukia, hata ethics hakuna siku hiziSema to be honest hawa madaktari wa kuanzia miaka ya 2020 aisee Mungu atusaidie tena sana watanzania ambao kipato chetu papatupapatu...Tena hawa wanaoanzia CO ndio chenga balaaa.
Sasa ote wakisoma hivyo vitu vya kujiajiri nani atatutibu huko hospital? nani atafundisha watoto wetu? Nani atatupa ushauri kitaalamu kuhusu kilimo na ufugaji? Tunaishi kwa kutegemeana mkuuVijana wenzio wanasoma vitu ambavyo unaweza kujiajiri. Wewe ukachagua usaa na damu. Sasa mpo wengi kama sisimizi. Kazi ya kudharauliwa kama ualimu. Pole. Ila pambana.
Asije kuwa ndie Dr wa Faraja Dispensary wa kule Moshi anayesemwa humu na kupondwaFresh from college au umeacha kazi mahali?
Haha I can bet money .Asije kuwa ndie Dr wa Faraja Dispensary wa kule Moshi anayesemwa humu na kupondwa
Kuna levels . Md wengi tupo sawaYaani unaenda hospital unakuta Daktari chenga Hadi mgonjwa unamshtukia, hata ethics hakuna siku hizi
sorry sana, tuliongea vizuri ilishindikana kutokana nilikuwa na Kazi ya mtu Mkononi . So I couldn’t just leave . Also masilai ya kazi yalichangia kwa Kiasi kikubwa sana . I had to stay put but I am now available.Mkuu, nilikupa kazi unayoomba huku, kabla hata ya kuanza kazi yenyewe ukaingia mitini. Sasa umerudi kuomba kazi tena?
Ujue utaratibu wa hivi husababisha watu wenye shida serious wasisaidiwe kwa hofu kuwa hakuna userious. Usiombe kitu kama hauko serious na unachoomba maana unawaharibia na wenzako wenye uhitaji serious waonekane ndio wale wale tu na wapuuzwe.
MD kozi ya heshima sana Duniani kote, MD ni cheoNi wastage acha kujipa moyo, nitajie md yoyote tajiri Tanzania, nje yenyewe watu wanaikimbia skuizi. Nguvu nyingi, muda mwingi kazini ata ela ukipata haina maana. Kozi la hovyo. Wenzio wapo TRA, TIRA, Hazina etc, hawatoi jasho wala hawaamki usiku na hawalaumiwi kwa kuua na wana maisha kukuzidi unataka kusemaje yani? 🤣 Umechagua kazi ya malofa dogo usijidanganye. Nerds and low people ndio wanajichanganya huko. Unatumia nguvu nyingi kuwa mtu wa kawaida. Kwanza ebola ikija unasepa chap kama upepo🤣🤣
Ndio kinachowacost , kutafuta heshima. MD wa Tanzania haheshimiki, labda uwe very exceptional Sana. Na wengine ni average Joes kama wewe ila wanaipenda sana hiyo course. Utateseka sana. Ela ipo kwenye tech. Heshima uwe na ela bana. Eti MD alafu unazidiwa pesa na auditor au financial manager we unakuwa nani?MD kozi ya heshima sana Duniani kote, MD ni cheo
Kujikaza kisabuni, ndio maana maskini mnazidiwa na watu kibao, mnatumia nguvu nyingi ku achieve maisha average.Acha kutiaa aibu madaktar, hakuna kulialia...
Ukiugua wao ndo msaada kwakoVijana wenzio wanasoma vitu ambavyo unaweza kujiajiri. Wewe ukachagua usaa na damu. Sasa mpo wengi kama sisimizi. Kazi ya kudharauliwa kama ualimu. Pole. Ila pambana.
Madaktari wengi kwa sasa ni Juniors wanahitaji Miaka 10 ya kuweza ona changamoto zoteSema to be honest hawa madaktari wa kuanzia miaka ya 2020 aisee Mungu atusaidie tena sana watanzania ambao kipato chetu papatupapatu...Tena hawa wanaoanzia CO ndio chenga balaaa.
Pesaa haipo popote kwa njia ya kuajiriwa ukitaka mapesa jiajir, Mimi sio MDNdio kinachowacost , kutafuta heshima. MD wa Tanzania haheshimiki, labda uwe very exceptional Sana. Na wengine ni average Joes kama wewe ila wanaipenda sana hiyo course. Utateseka sana. Ela ipo kwenye tech. Heshima uwe na ela bana. Eti MD alafu unazidiwa pesa na auditor au financial manager we unakuwa nani?
Mimi sio MD kaka, ila kama umeajiriwa na ww bado utasota tu hata uwe na taaluma ipiKujikaza kisabuni, ndio maana maskini mnazidiwa na watu kibao, mnatumia nguvu nyingi ku achieve maisha average.
Nimearifiwa na nipo sawa. Hatuwezi wote kujiajiri. Usikariri.Mimi sio MD kaka, ila kama umeajiriwa na ww bado utasota tu hata uwe na taaluma ipi
Huwez kuwa sawa bali unanafuu ya maisha tuu, acha ngebeNimearifiwa na nipo sawa. Hatuwezi wote kujiajiri. Usikariri.
Nipo sawa kama hutaki kafie mbele. Kesha huko na madamu wenzio wanakula Bata na wanakuzidi pesa.Huwez kuwa sawa bali unanafuu ya maisha tuu, acha ngebe