scolastika
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,863
- 5,719
Watoto wa maskini ndo wanaenda afya na ualimuNdio kinachowacost , kutafuta heshima. MD wa Tanzania haheshimiki, labda uwe very exceptional Sana. Na wengine ni average Joes kama wewe ila wanaipenda sana hiyo course. Utateseka sana. Ela ipo kwenye tech. Heshima uwe na ela bana. Eti MD alafu unazidiwa pesa na auditor au financial manager we unakuwa nani?
We utakuwa ulitaka kusomea udaktari ukapata maksi ndogo, hicho unachofanya ni psychological defenseWagonjwa wanakusubiri kanuse madonda huko.
Huko TRA mpaka upate hiyo kazi unafikiri mchezo? Huyo daktari kazi atapata tu asiwe na wasiwasi. Na kuna wengine wanapata kazi mashirika ya umma mfano NHIF na wanapata mishahara mikubwa sana kuliko walioajiriwa na wizara ya afya.Ni wastage acha kujipa moyo, nitajie md yoyote tajiri Tanzania, nje yenyewe watu wanaikimbia skuizi. Nguvu nyingi, muda mwingi kazini ata ela ukipata haina maana. Kozi la hovyo. Wenzio wapo TRA, TIRA, Hazina etc, hawatoi jasho wala hawaamki usiku na hawalaumiwi kwa kuua na wana maisha kukuzidi unataka kusemaje yani? 🤣 Umechagua kazi ya malofa dogo usijidanganye. Nerds and low people ndio wanajichanganya huko. Unatumia nguvu nyingi kuwa mtu wa kawaida. Kwanza ebola ikija unasepa chap kama upepo🤣🤣
inamana hadi MD hujui pakuanzia sisi lasaba tukushauri,kweli musukuma ataendelea kupeta kwa mwendo huuNipo full registered medical board na nina Active License.
Nipo Dar kwa sasa ila popote nakuja, part time or full time.
Si ndo hapo, tuache uvivu wa kufikiriSasa ote wakisoma hivyo vitu vya kujiajiri nani atatutibu huko hospital? nani atafundisha watoto wetu? Nani atatupa ushauri kitaalamu kuhusu kilimo na ufugaji? Tunaishi kwa kutegemeana mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Why usicheki nje aka uzamie Kama kulea ama kutibu watt ama wazee baadaye utapata Ajira rasmi. Cheki skilled migration to canadafresh from college na nimejitolea sana . Naona nichomoke sasa
Kubwa uyaone acha kudanganyana , madaktari wenzie kibao hawana ajira.Huko TRA mpaka upate hiyo kazi unafikiri mchezo? Huyo daktari kazi atapata tu asiwe na wasiwasi. Na kuna wengine wanapata kazi mashirika ya umma mfano NHIF na wanapata mishahara mikubwa sana kuliko walioajiriwa na wizara ya afya.
Kimsingi kazi za kuajiriwa siyo rahisi kuwa tajiri, utaishia kuwa mtu wa kipato cha kati
Kwahiyo nani wana ajira?Kubwa uyaone acha kudanganyana , madaktari wenzie kibao hawana ajira.
Wahasibu ndo wana ajira?Kwahiyo nani wana ajira?
Daaa ila watu, sasa umeandika tuu hivyo huoni kabisa ujaacha maswali mkuu?secta ya afya ni ngumu sana wakuu
Hauko sawaa, unaonekana kabisa una nja😆Nipo sawa kama hutaki kafie mbele. Kesha huko na madamu wenzio wanakula Bata na wanakuzidi pesa.
Jamaa akipata kazi mgodini Kama dokta sio mwenzetu kabisaNiliona CCBRT na mgodi mmoja wanataka mtu kama wewe, ingia LinkedIn na website za ajira huko utaona
Huyo utakuta alitaka kusoma udaktari, akafeli, kwasababu wanachukua waliofaulu sana, wanataka division one kali, ndomaana inamuuma ana hasira na kuonea wivu madaktari.Hauko sawaa, unaonekana kabisa una nja😆
Sio hao walioanzia CO ndio angalau?Sema to be honest hawa madaktari wa kuanzia miaka ya 2020 aisee Mungu atusaidie tena sana watanzania ambao kipato chetu papatupapatu...Tena hawa wanaoanzia CO ndio chenga balaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23]Wala. Ni hiphop tu. Ukweli mchungu. Wasije wakadhani wana la maana.