Natafuta mchumba ambaye atakuwa Mume Bora

Hongera kwa hilo lakin swala linaloitwa ndoa ni taasisi inayojitegemea tena ni ngumu kuiishi kama haujafanya utafiti mzuri wakati wa kuliendea.Swala la kuandika humu tangazo na vigezo vyako kama unatafuta mfanyakazi wa ndani au dukani mh unanitia mashaka kama upo seriously. (HASA KWA DUNIA YA SASA)
 
asante Kaka yan ile comment ya kwanza iliyonikosoa imenifanya niangalie sms yang mala mbili mbili aisee sijakosea ata sjui Alikua ananikosoa nn yan 😆
 
Kwanini huko mtaani unapoishi wanaume wenzangu wameshindwa kukuoa wanaogopa nini?
 
Dada ake hana masharti mengi wala nini?Nampa pole kwa usumbufu atakaoupata huko PM,maana nahisi atakutana na maombi zaidi ya 600,kazi kwake kuyafanyia upembuzi yakinifu!
ILA USISAHAU KULETA MREJESHO.
 
Zile ZERO za Form 4 zimeanza kutafuta nafuu ya maisha mitandaoni.
 

Baby Mama nakuja kujaribu bahati yangu DM[emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590]
 

Wewe ndo huyo kwa DP au unakatibia kufanana na huyo??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…