Natafuta mchumba badae awe mme,na mungu akibariki tufunge ndoa kanisani

Hhahahhaaaaaaaa
 
sbbu sisi wanawake tupo wengi kuliko nyie
mpk kuja kutafuta mume mtandaoni ushafika 30 na kuendelea masharti ya nn wanakosea sana kikubwa kingekua tu ni dini yako bas
Shunie mambo
 
Walio serious hawatafuti waume kwenye mitandao afu unaweka masharti utadhan ubalozi Wa US ukiendelea hivyo sahau kuolewa
 
Yaani hapo nimeambulia ku-match kwenye ambae hajawahi kuoa.
Daah, nifikirie na mm[emoji21] [emoji21]
 
Specifications zako nime overqualified
 
Mungu akusaidie kwenye hitaji lako ila naona ungesema tu mwanaume mkristo kuliko awe n Roman Catholic

umri ukishaenda msiweke masharti mengi jamaan mnawakimbiza wanaume
Yani shunie banah ni mtu wa point tu wewe,nakupenda bure shemeji yangu msalimie lee empire mwambie akutunze sana bado tunakuhitaji sana
 
sbbu sisi wanawake tupo wengi kuliko nyie
mpk kuja kutafuta mume mtandaoni ushafika 30 na kuendelea masharti ya nn wanakosea sana kikubwa kingekua tu ni dini yako bas
Una gonga point safi tumsifu yesu kristo muumini wangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…