Natafuta mchumba badae awe mme,na mungu akibariki tufunge ndoa kanisani

hahahaha haya maneno[emoji12] [emoji5] [emoji5] [emoji5]
 
Mungu akusaidie kwenye hitaji lako ila naona ungesema tu mwanaume mkristo kuliko awe n Roman Catholic

umri ukishaenda msiweke masharti mengi jamaan mnawakimbiza wanaume
[emoji3] [emoji3] umenena vzur
 
Nawe ubarikiwe upate hitaj lako ,ila hata kama mtu yu tayar japo kapungukiwa na vigezo baadhi fikiria mara ya pil
 
Mi nadhani angepata penzi kama la beberu na mbuzi mee.... Au unadhani yeye hapendi kunuswa papuchi??
kunuswa papuchi ndio kupoje babu halaf natamani nikuite jina ambalo haulipendi
kuna siku kuna mdada alikuita hivyo ukamwambie niite babu tu we hujui mm naitwa babu
 
Wadada bhana ukiwatongoza live wanaringa kweli!
Then JF wanakuja kugawa opportunity, kweli wadada hawajui nini wanakitaka!
Sasa mrembo me Roman Catholic mwenzako njoo PM serious.
Nakusubilia
 
More details about you
 
kunuswa papuchi ndio kupoje babu halaf natamani nikuite jina ambalo haulipendi
kuna siku kuna mdada alikuita hivyo ukamwambie niite babu tu we hujui mm naitwa babu
Hahahaha acha zako mkuu...
 
kila la kheri,nakushauri tu umuombe Mungu akupe mume mwema haijalishi atatoka wapi
 
Sasa mpaka akiwa mume we si utakuwa bibi? Kwanini usianze na wa 27 ili akifika 30 akuoe.
 
ahhhaha mdada alikuita mkuu babu ukamwambia hilo jina silipendi hujui mm naitwa babu ila we mzee sio mzima
Kweli mi sio mzima. Nimetahiriwa vizuri kabisa...
 
Check na KALLISTO,mwaweza kuyajenga maana naona anasifa uzitakazo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…