Natafuta mchumba badae awe mme,na mungu akibariki tufunge ndoa kanisani

Na Je itakuwa vipi kama tusipobarikiwa?
 
acha nikuombee aje haraka mwenzi wako mkuu...!!!!
 
w kila siku nikuwatakia wenzako baraka lin utavuta jiko bab
 
Walio serious hawatafuti waume kwenye mitandao afu unaweka masharti utadhan ubalozi Wa US ukiendelea hivyo sahau kuolewa
Msaidie tu kumuelekeza mahala waume wanapotafutiwa, au wanapopatikana huenda hilo litamsaida badala ya kumsimanga!!
 
Uncle we ni mtata
 
Vigezo vyote ninavyo. Kabla sijaja PM naombe nijue kama una chura au flat screen!
 
Mbona wewe hujataja sifa zako ukoje??
Inaonesha wanaume ametuona tuna njaa sana na Mke sijui!!!!! Hajui sisi ndiyo tuna vigezo vingi kuliko vyake ??
Ana wowowo...? Nimweupe..? Make wengine hatuoagi Giza kabisa[emoji12] [emoji12] kutokana anavigezo vingi muulizeni anabikira asije kuwa ujana amekula na wengine halafu malekerwa atuletee sisi...!!
Halafu aliko amekoswa mwanaume a
Iiyemtongoza na anavyo hivyo vigezo asije akawa mwanamke hewa aaaa!!!!!
 
ROMAN CATHOLIC mpooo??
Kadi ikinifikia mchango nitatoa.
 

Mtakatifu akukosea!!! Si kwa dua Ili Aseee
 
Punguzeni Vigezo Muolewe Khaaa!Mmetuumba Ninyi Ila Anyway Watakuja Wenye Hofu Ya Mungu Ila Kama Wewe Huna Hata Hofu Ya Mwili Wako Unavaa Uchi Uchi Sahau Kupewa Mtu Og Kama We Ni Fake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…