Obugwa Izoba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 10,033
- 10,622
Umbo la Haika si ndo flat screen au naelewa vibaya? Yaani zero chura
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nipo tayari, karibu PM kwa mazungumzo zaidiMimi ni mdada miaka 28,muajiriwa taasisi binafsi.
Rangi yangu kama ya Hamisa mobeto.
Umbo langu kama la Haika Navy kenzo(flat fulani hivi lakini halichoshi kuangalia wala hulikinai)
Urefu ni size Haika pia. Dini yangu ni Roman catholic. Kwa hapa Dar ninaishi Kijitonyama.
Ni mtu ninaejitambua wa kisasa ninajua dunia inaendaje.
Nina ishi mwenyewe.
Ninaemuhitaji awe anajielewa napenda mwanaume ambae amesimama ana kipato cha kueleweka maana na mie uchumi si haba.
Awe anaishi Dar, awe na miaka 30 na kuendelea.
Mengine tujajuzana zaidi.
Naimani humu ni kwa watu makini sana.
Sura hujaizungumzia hapo ipo kama nani
fanya haraka
Umbo la Haika si ndo flat screen au naelewa vibaya? Yaani zero chura
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nipo tayari, karibu PM kwa mazungumzo zaidi
Achana na hawa mbwiga wa JamiiForums, wasio jua kubebisha, njo kwa vijana tunao jua mapenzi ni nini, haiwezekani mtoto mzuri unatangaza nia alafu wanakuchukulia poa poaWao good combination tajiri mapesa na tajiri wakike.
Yes.
Nipo shirika fulani la kimataifa.
Chini ya wizara ya afya.
Sasa inabidi uache kujifananisha na watu especially hao kina Mobeto na the likes.
Kwa sababu sijui kuchora picha.
Hahahaha hatari sana mkuuUmbo la Haika si ndo flat screen au naelewa vibaya? Yaani zero chura
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani JF haipo mtaani kwake..!!?? Au unadhani ipo mtaa upi?