rkidilu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2019
- 380
- 328
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamia dar. SimpleKigezo cha kutoishi Dar kimenikosesha jiko aisee!
Wana Dsm kazi kwenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha kwendraaa nasubiri majibu yako toka pm[emoji23][emoji23][emoji23]Ha ha ha ha..... Umerud tena na jina lako? Huyu Mtoto nshaenda Pm tayari nasubr majibu hapa...
Halaf hili jiko uje upike basi
Sent using Jamii Forums mobile app
nimekuja pm aujibu mbona...au uyo unaemtafuta anakuja ndotoni??Mimi ni mdada miaka 28,muajiriwa taasisi binafsi.
Rangi yangu kama ya Hamisa mobeto.
Umbo langu kama la Haika Navy kenzo(flat fulani hivi lakini halichoshi kuangalia wala hulikinai)
Urefu ni size Haika pia. Dini yangu ni Roman catholic. Kwa hapa Dar ninaishi Kijitonyama.
Ni mtu ninaejitambua wa kisasa ninajua dunia inaendaje.
Nina ishi mwenyewe.
Ninaemuhitaji awe anajielewa napenda mwanaume ambae amesimama ana kipato cha kueleweka maana na mie uchumi si haba.
Awe anaishi Dar, awe na miaka 30 na kuendelea.
Mengine tujajuzana zaidi.
Naimani humu ni kwa watu makini sana.
Hamna mke hapoWw binti sisi wengine unatuchanganya
Haika Navy kenzo ndiyo Nani?
Hamisa mobeto ndiyo Nani?
Hamia dar. Simple
Sent From Galaxy S9
Mkuu, wa kisasa ni yule anayevaa vikuku,kutoboa pua na anayechora tatoos, ndukiiii.
Mimi ni mdada miaka 28,muajiriwa taasisi binafsi.
Rangi yangu kama ya Hamisa mobeto.
Umbo langu kama la Haika Navy kenzo(flat fulani hivi lakini halichoshi kuangalia wala hulikinai)
Urefu ni size Haika pia. Dini yangu ni Roman catholic. Kwa hapa Dar ninaishi Kijitonyama.
Ni mtu ninaejitambua wa kisasa ninajua dunia inaendaje.
Nina ishi mwenyewe.
Ninaemuhitaji awe anajielewa napenda mwanaume ambae amesimama ana kipato cha kueleweka maana na mie uchumi si haba.
Awe anaishi Dar, awe na miaka 30 na kuendelea.
Mengine tujajuzana zaidi.
Naimani humu ni kwa watu makini sana.
Kwa uandishi wako huu, hata akija ajue kabisa anakuja kwa mhuni flani hivi au mvulana ambae bado hajajitambua/ hajajisimamia.Achana na
Achana na hawa mbwiga wa JamiiForums, wasio jua kubebisha, njo kwa vijana tunao jua mapenzi ni nini, haiwezekani mtoto mzuri unatangaza nia alafu wanakuchukulia poa poa
Request Denied...Hahahahaha kwendraaa nasubiri majibu yako toka pm[emoji23][emoji23][emoji23]
Umri wangu ni miaka 32 ninaishi mbezi beach ni engeer ktk mifumo ya mawasiliano umbo langu ni wastan sio mwembamba wala mrefu rangi black kama utahitaji mazungumzo zaid tafadha karibu dmMimi ni mdada miaka 28,muajiriwa taasisi binafsi.
Rangi yangu kama ya Hamisa mobeto.
Umbo langu kama la Haika Navy kenzo(flat fulani hivi lakini halichoshi kuangalia wala hulikinai)
Urefu ni size Haika pia. Dini yangu ni Roman catholic. Kwa hapa Dar ninaishi Kijitonyama.
Ni mtu ninaejitambua wa kisasa ninajua dunia inaendaje.
Nina ishi mwenyewe.
Ninaemuhitaji awe anajielewa napenda mwanaume ambae amesimama ana kipato cha kueleweka maana na mie uchumi si haba.
Awe anaishi Dar, awe na miaka 30 na kuendelea.
Mengine tujajuzana zaidi.
Naimani humu ni kwa watu makini sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mh ujinga mtupuMimi ni mdada miaka 28,muajiriwa taasisi binafsi.
Rangi yangu kama ya Hamisa mobeto.
Umbo langu kama la Haika Navy kenzo(flat fulani hivi lakini halichoshi kuangalia wala hulikinai)
Urefu ni size Haika pia. Dini yangu ni Roman catholic. Kwa hapa Dar ninaishi Kijitonyama.
Ni mtu ninaejitambua wa kisasa ninajua dunia inaendaje.
Nina ishi mwenyewe.
Ninaemuhitaji awe anajielewa napenda mwanaume ambae amesimama ana kipato cha kueleweka maana na mie uchumi si haba.
Awe anaishi Dar, awe na miaka 30 na kuendelea.
Mengine tujajuzana zaidi.
Naimani humu ni kwa watu makini sana.
Kwahyo.unafuraah mm kupigwa chin[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]