Natafuta mchumba ikitupendeza tufike tuwe mume na mke

Natafuta mchumba ikitupendeza tufike tuwe mume na mke

Mimi ni mdada miaka 28,muajiriwa taasisi binafsi.
Rangi yangu kama ya Hamisa mobeto.
Umbo langu kama la Haika Navy kenzo(flat fulani hivi lakini halichoshi kuangalia wala hulikinai)
Urefu ni size Haika pia. Dini yangu ni Roman catholic. Kwa hapa Dar ninaishi Kijitonyama.
Ni mtu ninaejitambua wa kisasa ninajua dunia inaendaje.
Nina ishi mwenyewe.
Ninaemuhitaji awe anajielewa napenda mwanaume ambae amesimama ana kipato cha kueleweka maana na mie uchumi si haba.
Awe anaishi Dar, awe na miaka 30 na kuendelea.
Mengine tujajuzana zaidi.
Naimani humu ni kwa watu makini sana.
Wenye kipato kinachoeleweka hawatafuti wanatafutwa..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeshakuwa single mother au bado hauna mtoto katika historia yako
Mimi ni mdada miaka 28,muajiriwa taasisi binafsi.
Rangi yangu kama ya Hamisa mobeto.
Umbo langu kama la Haika Navy kenzo(flat fulani hivi lakini halichoshi kuangalia wala hulikinai)
Urefu ni size Haika pia. Dini yangu ni Roman catholic. Kwa hapa Dar ninaishi Kijitonyama.
Ni mtu ninaejitambua wa kisasa ninajua dunia inaendaje.
Nina ishi mwenyewe.
Ninaemuhitaji awe anajielewa napenda mwanaume ambae amesimama ana kipato cha kueleweka maana na mie uchumi si haba.
Awe anaishi Dar, awe na miaka 30 na kuendelea.
Mengine tujajuzana zaidi.
Naimani humu ni kwa watu makini sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ni mdada miaka 28,muajiriwa taasisi binafsi.
Rangi yangu kama ya Hamisa mobeto.
Umbo langu kama la Haika Navy kenzo(flat fulani hivi lakini halichoshi kuangalia wala hulikinai)
Urefu ni size Haika pia. Dini yangu ni Roman catholic. Kwa hapa Dar ninaishi Kijitonyama.
Ni mtu ninaejitambua wa kisasa ninajua dunia inaendaje.
Nina ishi mwenyewe.
Ninaemuhitaji awe anajielewa napenda mwanaume ambae amesimama ana kipato cha kueleweka maana na mie uchumi si haba.
Awe anaishi Dar, awe na miaka 30 na kuendelea.
Mengine tujajuzana zaidi.
Naimani humu ni kwa watu makini sana.
wasomi hamjawahi kukosa vigezo kwa mwanaume mnaemtaka
 
Mimi ni mdada miaka 28,muajiriwa taasisi binafsi.
Rangi yangu kama ya Hamisa obeto.Umbo langu kama la Haika Navy kenzo(flat fulani hivi lakini halichoshi kuangalia wala hulikinai)
Urefu ni size Haika pia.

Dini yangu ni Roman catholic. Kwa hapa Dar ninaishi Kijitonyama.

Ni mtu ninaejitambua wa kisasa ninajua dunia inaendaje. Nina ishi mwenyewe.

Ninaemuhitaji awe anajielewa napenda mwanaume ambae amesimama ana kipato cha kueleweka maana na mie uchumi si haba.

Awe anaishi Dar, awe na miaka 30 na kuendelea.
Mengine tujajuzana zaidi.

Naimani humu ni kwa watu makini sana.
Utaratibu ni kama ifuatavyo:-
1: Nawa mikono mara kwa mara kwa maji tiririka na sabuni (si chini ya sec 20) au tumia kitakasa mikono.
2: Epuka mambo yafuatayo:-
A:Kujishika usoni
B:Kushikana mikono na watu.
C:Kukaa sehemu zenye mikusanyiko.
3:Baki nyumbani kama huna safari ya lazima
4:Endapo utalazimika kutoka nyumbani vaa barakoa
 
Back
Top Bottom