mojave
JF-Expert Member
- Apr 30, 2016
- 5,568
- 6,424
๐๐๐๐๐Mbona unajifananishafaninanisha na wenzio halafu hapohapo unasema unajitambua......
Hamna mwanamke hapa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐๐๐Mbona unajifananishafaninanisha na wenzio halafu hapohapo unasema unajitambua......
Hamna mwanamke hapa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wenye kipato kinachoeleweka hawatafuti wanatafutwa..Mimi ni mdada miaka 28,muajiriwa taasisi binafsi.
Rangi yangu kama ya Hamisa mobeto.
Umbo langu kama la Haika Navy kenzo(flat fulani hivi lakini halichoshi kuangalia wala hulikinai)
Urefu ni size Haika pia. Dini yangu ni Roman catholic. Kwa hapa Dar ninaishi Kijitonyama.
Ni mtu ninaejitambua wa kisasa ninajua dunia inaendaje.
Nina ishi mwenyewe.
Ninaemuhitaji awe anajielewa napenda mwanaume ambae amesimama ana kipato cha kueleweka maana na mie uchumi si haba.
Awe anaishi Dar, awe na miaka 30 na kuendelea.
Mengine tujajuzana zaidi.
Naimani humu ni kwa watu makini sana.
unamaanisha pamoja na hawa akina Zero IQ , Kiduku Lilo , n.k au mimi ndio sijaelewa?Naimani humu ni kwa watu makini sana.
Mimi ni mdada miaka 28,muajiriwa taasisi binafsi.
Rangi yangu kama ya Hamisa mobeto.
Umbo langu kama la Haika Navy kenzo(flat fulani hivi lakini halichoshi kuangalia wala hulikinai)
Urefu ni size Haika pia. Dini yangu ni Roman catholic. Kwa hapa Dar ninaishi Kijitonyama.
Ni mtu ninaejitambua wa kisasa ninajua dunia inaendaje.
Nina ishi mwenyewe.
Ninaemuhitaji awe anajielewa napenda mwanaume ambae amesimama ana kipato cha kueleweka maana na mie uchumi si haba.
Awe anaishi Dar, awe na miaka 30 na kuendelea.
Mengine tujajuzana zaidi.
Naimani humu ni kwa watu makini sana.
wasomi hamjawahi kukosa vigezo kwa mwanaume mnaemtakaMimi ni mdada miaka 28,muajiriwa taasisi binafsi.
Rangi yangu kama ya Hamisa mobeto.
Umbo langu kama la Haika Navy kenzo(flat fulani hivi lakini halichoshi kuangalia wala hulikinai)
Urefu ni size Haika pia. Dini yangu ni Roman catholic. Kwa hapa Dar ninaishi Kijitonyama.
Ni mtu ninaejitambua wa kisasa ninajua dunia inaendaje.
Nina ishi mwenyewe.
Ninaemuhitaji awe anajielewa napenda mwanaume ambae amesimama ana kipato cha kueleweka maana na mie uchumi si haba.
Awe anaishi Dar, awe na miaka 30 na kuendelea.
Mengine tujajuzana zaidi.
Naimani humu ni kwa watu makini sana.
Kwema Bro?..Tumeshasogea Pm?
Flat screen kiaina ni zile toleo za Kwanza kwanza halichoshi kuangalia.
Mbona unajifananishafaninanisha na wenzio halafu hapohapo unasema unajitambua......
Hamna mwanamke hapa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Utaratibu ni kama ifuatavyo:-Mimi ni mdada miaka 28,muajiriwa taasisi binafsi.
Rangi yangu kama ya Hamisa obeto.Umbo langu kama la Haika Navy kenzo(flat fulani hivi lakini halichoshi kuangalia wala hulikinai)
Urefu ni size Haika pia.
Dini yangu ni Roman catholic. Kwa hapa Dar ninaishi Kijitonyama.
Ni mtu ninaejitambua wa kisasa ninajua dunia inaendaje. Nina ishi mwenyewe.
Ninaemuhitaji awe anajielewa napenda mwanaume ambae amesimama ana kipato cha kueleweka maana na mie uchumi si haba.
Awe anaishi Dar, awe na miaka 30 na kuendelea.
Mengine tujajuzana zaidi.
Naimani humu ni kwa watu makini sana.