Tuttyfruity
JF-Expert Member
- Dec 3, 2017
- 2,414
- 6,371
Kwanini?
Sent From Galaxy S9
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini?
[emoji23]yani kicheko kinanibana tuuuu
Karibu kwanguMimi ni mdada miaka 28,muajiriwa taasisi binafsi.
Rangi yangu kama ya Hamisa mobeto.
Umbo langu kama la Haika Navy kenzo(flat fulani hivi lakini halichoshi kuangalia wala hulikinai)
Urefu ni size Haika pia. Dini yangu ni Roman catholic. Kwa hapa Dar ninaishi Kijitonyama.
Ni mtu ninaejitambua wa kisasa ninajua dunia inaendaje.
Nina ishi mwenyewe.
Ninaemuhitaji awe anajielewa napenda mwanaume ambae amesimama ana kipato cha kueleweka maana na mie uchumi si haba.
Awe anaishi Dar, awe na miaka 30 na kuendelea.
Mengine tujajuzana zaidi.
Naimani humu ni kwa watu makini sana.
Nahisi ni hvyo ujue
Baadae[emoji2088]
Where is KaboomAisee thread imenyooka kabisa embu ngoja nije PM tuyajenge kwanza Mama, Vigezo vyote nnavyo hapo...
Huu uchumi unaojitosheleza kwangu au kwetu tukiwa pamoja?
Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea kusubir utampata tu, kikubwa usiwe na harakaMimi ni mdada miaka 28,muajiriwa taasisi binafsi.
Rangi yangu kama ya Hamisa mobeto.
Umbo langu kama la Haika Navy kenzo(flat fulani hivi lakini halichoshi kuangalia wala hulikinai)
Urefu ni size Haika pia. Dini yangu ni Roman catholic. Kwa hapa Dar ninaishi Kijitonyama.
Ni mtu ninaejitambua wa kisasa ninajua dunia inaendaje.
Nina ishi mwenyewe.
Ninaemuhitaji awe anajielewa napenda mwanaume ambae amesimama ana kipato cha kueleweka maana na mie uchumi si haba.
Awe anaishi Dar, awe na miaka 30 na kuendelea.
Mengine tujajuzana zaidi.
Naimani humu ni kwa watu makini sana.
una pesa yani wewe tajiri?Daaah! Nimekosa kivezo Cha umri tu, maana nimelingana na wewe Ila vilivyobaki vyoote vipo
Sent using Jamii Forums mobile app
Wachumba wanatafutwa jirani na unakoishi na makanisani/misikitini lakini huku mitandaoni utaoa pressureMimi ni mdada miaka 28,muajiriwa taasisi binafsi.
Rangi yangu kama ya Hamisa mobeto.
Umbo langu kama la Haika Navy kenzo(flat fulani hivi lakini halichoshi kuangalia wala hulikinai)
Urefu ni size Haika pia. Dini yangu ni Roman catholic. Kwa hapa Dar ninaishi Kijitonyama.
Ni mtu ninaejitambua wa kisasa ninajua dunia inaendaje.
Nina ishi mwenyewe.
Ninaemuhitaji awe anajielewa napenda mwanaume ambae amesimama ana kipato cha kueleweka maana na mie uchumi si haba.
Awe anaishi Dar, awe na miaka 30 na kuendelea.
Mengine tujajuzana zaidi.
Naimani humu ni kwa watu makini sana.
sijui kwa nini huwa nawaogopa wanawake wenye pesa🤔Mimi ni mdada miaka 28,muajiriwa taasisi binafsi.
Rangi yangu kama ya Hamisa mobeto.
Umbo langu kama la Haika Navy kenzo(flat fulani hivi lakini halichoshi kuangalia wala hulikinai)
Urefu ni size Haika pia. Dini yangu ni Roman catholic. Kwa hapa Dar ninaishi Kijitonyama.
Ni mtu ninaejitambua wa kisasa ninajua dunia inaendaje.
Nina ishi mwenyewe.
Ninaemuhitaji awe anajielewa napenda mwanaume ambae amesimama ana kipato cha kueleweka maana na mie uchumi si haba.
Awe anaishi Dar, awe na miaka 30 na kuendelea.
Mengine tujajuzana zaidi.
Naimani humu ni kwa watu makini sana.
sijui kwa nini huwa nawaogopa wanawake wenye pesa🤔
Usinisahau kadi ya harusiAisee thread imenyooka kabisa embu ngoja nije PM tuyajenge kwanza Mama, Vigezo vyote nnavyo hapo...
Huu uchumi unaojitosheleza kwangu au kwetu tukiwa pamoja?
Sent using Jamii Forums mobile app
😀😀😀Mbona unajifananishafaninanisha na wenzio halafu hapohapo unasema unajitambua......
Hamna mwanamke hapa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nshapigwa chin toka Jana Dogo kumbe kigezo cha uwezo wa kujitosheleza kimenifelshaUsinisahau kadi ya harusi
Hii content yako imenifanya nicheke sana usiku huu.Mpendwa mteja, tunakusihi jitahidi kuosha mikono kwa maji safi na sabuni mara kwa mara na kwa siku chache hizi jaribu kutulia nyumbani kuepusha maambukizi ya #CORONAVIRUS