Natafuta mchumba ikitupendeza tufike tuwe mume na mke

nimekuja pm aujibu mbona...au uyo unaemtafuta anakuja ndotoni??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nipo tayari kabila langu nabahani ninatoka ktk kisiwa chenye marashi ya harufu ya karafuu na mm kigezo changu nataka ubadili dini ili tufungendoa kihalali

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Utakubali kishi tjkila bata tuu bila kuwa na watoto?
 
Achana na

Achana na hawa mbwiga wa JamiiForums, wasio jua kubebisha, njo kwa vijana tunao jua mapenzi ni nini, haiwezekani mtoto mzuri unatangaza nia alafu wanakuchukulia poa poa
Kwa uandishi wako huu, hata akija ajue kabisa anakuja kwa mhuni flani hivi au mvulana ambae bado hajajitambua/ hajajisimamia.

Sorry lakin n maoni yangu tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umri wangu ni miaka 32 ninaishi mbezi beach ni engeer ktk mifumo ya mawasiliano umbo langu ni wastan sio mwembamba wala mrefu rangi black kama utahitaji mazungumzo zaid tafadha karibu dm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mh ujinga mtupu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…