Ujinga wake nini?nadhani kawa muwazi tuKwa ujinga huu sijui mtabadilika lini,
Ni kweli lakini kwa kesi yangu naona hii ndio njia sahihi sidhani kwa mtaani ninaweza nikamuuliza mdada wa watu kama mgumba au nimwambie natafuta mwanamke mgumba wa kuoa..atleast kwenye platform hii ukitangaza anayehusika atakuja.Kwa ujinga huu sijui mtabadilika lini,mtu wa maisha unamtafuta mtandaoni?
Ujinga wake nini?nadhani kawa muwazi tu
Elewa alichokisemaNarudia tena bila kupepesa macho Kwa ujinga huu sijui mtabadilika lini,Mtu wa Maisha una tafuta mtandaoni?
Wewe ndo huwezi badilika.Kwa ujinga huu sijui mtabadilika lini,mtu wa maisha unamtafuta mtandaoni?
Narudia wewe ndo mjinga na sijui utabadilika lini.Narudia tena bila kupepesa macho Kwa ujinga huu sijui mtabadilika lini,Mtu wa Maisha una tafuta mtandaoni?
Kwa ujinga huu sijui mtabadilika lini,mtu wa maisha unamtafuta mtandaoni?
Tupe maujanja ndugu.Natamani nikushauri kitu upate mtoto kwa upande wa pili.. but too risk
Asante kwa kumuelewesha mkuuWewe ndo huwezi badilika.
Nina watu wengi nawafahamu wamekutana mitandaoni na wengine kwenye magazeti wameoana na ndoa zao safi kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwan mtandaoni kuna manyani mkuu, mtandaoni ni kama jamii tu kama jamii zingine napo kuna wanawake na wanaume wastarabu na wasiyo wastarabu,Kwa ujinga huu sijui mtabadilika lini,mtu wa maisha unamtafuta mtandaoni?