Natafuta mchumba mgumba (asiyeweza kupata mtoto)

Natafuta mchumba mgumba (asiyeweza kupata mtoto)

Watu wanachukulia Ndoa ni kama kitu fulani tu cha kawaida,Kwa mtu aliye makini na hii kitu alafu anatafuta mwenzi mtandaoni,Ndo !maana Ndoa za Siku hizi hazidumu, mmmmh eti unafuta mwenzi mtandaoni tubadilike bado nakazia na kusisitiza IMPOSSIBLE ,Ndo maana ishawakuta baadhi wakatafuta vitu vya ajabu mpaka leo wanajuta.
Braza iwapo tu wakijijini ana smartfone kwa ajili ya mitandao sasa wewe unazungumzia yupi sijui ambae hatakuwa kwenye mitandao sana sana atakudanganya tu mungu ndo huongoza yote hayo kuna watu wameoa sehemu wanyodhani ni salama baadae anageuka kuwa mbwa mwitu kuliko kikubwa ni commitment ya mtu
 
Kuna Tukio moja lishatokea huku Mwanza kuna mdada alipata mwenzi kupitia mitandaoni kumbe alikuwa sio binadamj,kilichomkuta kwa kweli ni kumuonea huruma.narudia tena mpinge msipinge au mtukane au msitukane kutafuta mwenzi mtandaoni ni kutojielewa vyovyote mtakavyo reply, hiyo ndo sindano
Hivi mke wako wakati unampata alikuwa hana axxount yoyote mitandaoni tuanzie hapo na sasa hana account mitandaoni?
 
Habari

Ni kijana wa miaka 28
Kutokana na matatizo Yangu (kiafya) sitoweza kuzalisha kwa njia ya kawaida.
Ukiacha tatizo hilo,Niko mzima wa afya na mchapa kazi.
Nimejiajiri
Ni msomi,mstaarabu na mvumilivu.
Kama mtoto tunaweza kuasili kama tukikubaliana.

Sifa zako
Uwe mgumba au uwe tayari tuishi bila kuzaa
Usiwe mnene sana
Uwe unajishughulisha
Rangi yoyote

Maswali mengine njoo DM siwezi kuandika kila kitu.
Hakuna mwanamme mgumba
 
Wewe jamaa unayemkejeli huna busara kabisa. Jamaa kajieleza hali yake,ameeleza namna anavyopata shida kumpata mwenza katika hali ya kawaida lkn kichwa chako ni kigumu kuelewa. Walimu wako wamepata taabu sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji119]
 
Back
Top Bottom