Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe tu mwaya😀.Utanifaa sana bibie njoo tutafute watoto bhn
Nami pia nahitaji mwanamke wa design hiyo Ila umri wake usiwe chini ya miaka 45.Mitandao haina watu.. Ni haohao wa 'mitaani' ndio haohao wa mitandaoni na nguo haohao wa majumbani na kati yao ni ndugu zetu wa karibu kabisa
Jr[emoji769]
Mtonye apate mwenxio apate Niko[emoji108]Mungu akujaalie hitaji la moyo wako
Habari
Ni kijana wa miaka 28
Kutokana na matatizo Yangu (kiafya) sitoweza kuzalisha kwa njia ya kawaida.
Ukiacha tatizo hilo,Niko mzima wa afya na mchapa kazi.
Nimejiajiri
Ni msomi,mstaarabu na mvumilivu.
Kama mtoto tunaweza kuasili kama tukikubaliana.
Sifa zako
Uwe mgumba au uwe tayari tuishi bila kuzaa
Usiwe mnene sana
Uwe unajishughulisha
Rangi yoyote
Maswali mengine njoo DM siwezi kuandika kila kitu.
Pole Sana ungesema tatizo tukusaidie humu Kuna wataalam wa masuala ya uzaz wa kike na kiume wa hospital na mitishamba ,ugumba unatibika Ila utasa hautibiki,ukiwa tayari nitafute nikusaidie kukuambia mizizi ya kuchimba huko uliko uchemshe unywe inaeza kukusaidia inshaAllah....Ila kila la kheri na Mungu akupe hitaji la moyo wakoHabari
Ni kijana wa miaka 28
Kutokana na matatizo Yangu (kiafya) sitoweza kuzalisha kwa njia ya kawaida.
Ukiacha tatizo hilo,Niko mzima wa afya na mchapa kazi.
Nimejiajiri
Ni msomi,mstaarabu na mvumilivu.
Kama mtoto tunaweza kuasili kama tukikubaliana.
Sifa zako
Uwe mgumba au uwe tayari tuishi bila kuzaa
Usiwe mnene sana
Uwe unajishughulisha
Rangi yoyote
Maswali mengine njoo DM siwezi kuandika kila kitu.
Wewe ndo huna akili kabisa...sina haja ya kuelezea zaidi,nahisi bado mtoto.Watu wanachukulia Ndoa ni kama kitu fulani tu cha kawaida,Kwa mtu aliye makini na hii kitu alafu anatafuta mwenzi mtandaoni,Ndo !maana Ndoa za Siku hizi hazidumu, mmmmh eti unafuta mwenzi mtandaoni tubadilike bado nakazia na kusisitiza IMPOSSIBLE ,Ndo maana ishawakuta baadhi wakatafuta vitu vya ajabu mpaka leo wanajuta.