Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mitandao haina watu.. Ni haohao wa 'mitaani' ndio haohao wa mitandaoni na nguo haohao wa majumbani na kati yao ni ndugu zetu wa karibu kabisaKwa ujinga huu sijui mtabadilika lini,mtu wa maisha unamtafuta mtandaoni?
wewe umedumu miaka mingapi kwenye ndoa?Watu wanachukulia Ndoa ni kama kitu fulani tu cha kawaida,Kwa mtu aliye makini na hii kitu alafu anatafuta mwenzi mtandaoni,Ndo !maana Ndoa za Siku hizi hazidumu, mmmmh eti unafuta mwenzi mtandaoni tubadilike bado nakazia na kusisitiza IMPOSSIBLE ,Ndo maana ishawakuta baadhi wakatafuta vitu vya ajabu mpaka leo wanajuta.
Watu wanachukulia Ndoa ni kama kitu fulani tu cha kawaida,Kwa mtu aliye makini na hii kitu alafu anatafuta mwenzi mtandaoni,Ndo !maana Ndoa za Siku hizi hazidumu, mmmmh eti unafuta mwenzi mtandaoni tubadilike bado nakazia na kusisitiza IMPOSSIBLE ,Ndo maana ishawakuta baadhi wakatafuta vitu vya ajabu mpaka leo wanajuta.
Wanaokutana mtaani hawawezi kuachana sio?.Watu wanachukulia Ndoa ni kama kitu fulani tu cha kawaida,Kwa mtu aliye makini na hii kitu alafu anatafuta mwenzi mtandaoni,Ndo !maana Ndoa za Siku hizi hazidumu, mmmmh eti unafuta mwenzi mtandaoni tubadilike bado nakazia na kusisitiza IMPOSSIBLE ,Ndo maana ishawakuta baadhi wakatafuta vitu vya ajabu mpaka leo wanajuta.
Watu wanachukulia Ndoa ni kama kitu fulani tu cha kawaida,Kwa mtu aliye makini na hii kitu alafu anatafuta mwenzi mtandaoni,Ndo !maana Ndoa za Siku hizi hazidumu, mmmmh eti unafuta mwenzi mtandaoni tubadilike bado nakazia na kusisitiza IMPOSSIBLE ,Ndo maana ishawakuta baadhi wakatafuta vitu vya ajabu mpaka leo wanajuta.
Nijuavyo Mimi ni kuwa mgumba HUZAA ila Tasa ndo hawezi kupata mtoto kamwe. So kama weye mgumba na wataka mgumba mwenzio jua kuwa mwaweza kupata watoto through IVF ama njia nyingineHabari
Ni kijana wa miaka 28
Kutokana na matatizo Yangu(kiafya)sitoweza kuzalisha kwa njia ya kawaida.
Ukiacha tatizo hilo,Niko mzima wa afya na mchapa kazi.
Nimejiajiri
Ni msomi,mstaarabu na mvumilivu.
Kama mtoto tunaweza kuasili kama tukikubaliana.
Sifa zako
Uwe mgumba au uwe tayari tuishi bila kuzaa
Usiwe mnene sana
Uwe unajishughulisha
Rangi yoyote
Maswali mengine njoo DM siwezi kuandika kila kitu.
Narudia tena bila kupepesa macho Kwa ujinga huu sijui mtabadilika lini,Mtu wa Maisha una tafuta mtandaoni?
Nahisi wewe ndio mjinga kabisa.Watu walioko mtaani kwako,makazini,majumban na n.k wanatofauti gani na walioko mtandaoni????Narudia tena bila kupepesa macho Kwa ujinga huu sijui mtabadilika lini,Mtu wa Maisha una tafuta mtandaoni?
BahariaaAisee ukimpata nipigie na mie pande.
We jamaa baada ya kuandika ukoko pale juu,bora ungekaa kimya kuliko kuendelea kuandika hayo unayoita mawazo yakoWatu wanachukulia Ndoa ni kama kitu fulani tu cha kawaida,Kwa mtu aliye makini na hii kitu alafu anatafuta mwenzi mtandaoni,Ndo !maana Ndoa za Siku hizi hazidumu, mmmmh eti unafuta mwenzi mtandaoni tubadilike bado nakazia na kusisitiza IMPOSSIBLE ,Ndo maana ishawakuta baadhi wakatafuta vitu vya ajabu mpaka leo wanajuta.
Bahariaa
Hahahahah nimekuinulia mikonoEeeh mie nataka kuwa nagegeda tuu hamna suala la mtoto.
Au ata single mother amabaye alishazaa mtoto mmoja na hataki kuzaa tena ndio nataka.
Mkuu kwan hawa Wa mtandaoni wanaishi wap ? Naomba jibNarudia tena bila kupepesa macho Kwa ujinga huu sijui mtabadilika lini,Mtu wa Maisha una tafuta mtandaoni?