Natafuta mchumba mgumba (asiyeweza kupata mtoto)

Natafuta mchumba mgumba (asiyeweza kupata mtoto)

Watu wanachukulia Ndoa ni kama kitu fulani tu cha kawaida,Kwa mtu aliye makini na hii kitu alafu anatafuta mwenzi mtandaoni,Ndo !maana Ndoa za Siku hizi hazidumu, mmmmh eti unafuta mwenzi mtandaoni tubadilike bado nakazia na kusisitiza IMPOSSIBLE ,Ndo maana ishawakuta baadhi wakatafuta vitu vya ajabu mpaka leo wanajuta.
 
Watu wanachukulia Ndoa ni kama kitu fulani tu cha kawaida,Kwa mtu aliye makini na hii kitu alafu anatafuta mwenzi mtandaoni,Ndo !maana Ndoa za Siku hizi hazidumu, mmmmh eti unafuta mwenzi mtandaoni tubadilike bado nakazia na kusisitiza IMPOSSIBLE ,Ndo maana ishawakuta baadhi wakatafuta vitu vya ajabu mpaka leo wanajuta.
wewe umedumu miaka mingapi kwenye ndoa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Basi tufanye tumekuelewa, haya tuambie mke au mume wa ndoa anapaswa atafutwe wapi??
Watu wanachukulia Ndoa ni kama kitu fulani tu cha kawaida,Kwa mtu aliye makini na hii kitu alafu anatafuta mwenzi mtandaoni,Ndo !maana Ndoa za Siku hizi hazidumu, mmmmh eti unafuta mwenzi mtandaoni tubadilike bado nakazia na kusisitiza IMPOSSIBLE ,Ndo maana ishawakuta baadhi wakatafuta vitu vya ajabu mpaka leo wanajuta.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wanachukulia Ndoa ni kama kitu fulani tu cha kawaida,Kwa mtu aliye makini na hii kitu alafu anatafuta mwenzi mtandaoni,Ndo !maana Ndoa za Siku hizi hazidumu, mmmmh eti unafuta mwenzi mtandaoni tubadilike bado nakazia na kusisitiza IMPOSSIBLE ,Ndo maana ishawakuta baadhi wakatafuta vitu vya ajabu mpaka leo wanajuta.
Wanaokutana mtaani hawawezi kuachana sio?.
 
Kwa hyo unaushauri nini kwa jamii ?
Watu wanachukulia Ndoa ni kama kitu fulani tu cha kawaida,Kwa mtu aliye makini na hii kitu alafu anatafuta mwenzi mtandaoni,Ndo !maana Ndoa za Siku hizi hazidumu, mmmmh eti unafuta mwenzi mtandaoni tubadilike bado nakazia na kusisitiza IMPOSSIBLE ,Ndo maana ishawakuta baadhi wakatafuta vitu vya ajabu mpaka leo wanajuta.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari

Ni kijana wa miaka 28
Kutokana na matatizo Yangu(kiafya)sitoweza kuzalisha kwa njia ya kawaida.
Ukiacha tatizo hilo,Niko mzima wa afya na mchapa kazi.
Nimejiajiri
Ni msomi,mstaarabu na mvumilivu.
Kama mtoto tunaweza kuasili kama tukikubaliana.

Sifa zako
Uwe mgumba au uwe tayari tuishi bila kuzaa
Usiwe mnene sana
Uwe unajishughulisha
Rangi yoyote

Maswali mengine njoo DM siwezi kuandika kila kitu.
Nijuavyo Mimi ni kuwa mgumba HUZAA ila Tasa ndo hawezi kupata mtoto kamwe. So kama weye mgumba na wataka mgumba mwenzio jua kuwa mwaweza kupata watoto through IVF ama njia nyingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wanachukulia Ndoa ni kama kitu fulani tu cha kawaida,Kwa mtu aliye makini na hii kitu alafu anatafuta mwenzi mtandaoni,Ndo !maana Ndoa za Siku hizi hazidumu, mmmmh eti unafuta mwenzi mtandaoni tubadilike bado nakazia na kusisitiza IMPOSSIBLE ,Ndo maana ishawakuta baadhi wakatafuta vitu vya ajabu mpaka leo wanajuta.
We jamaa baada ya kuandika ukoko pale juu,bora ungekaa kimya kuliko kuendelea kuandika hayo unayoita mawazo yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom