Natafuta mchumba mgumba (asiyeweza kupata mtoto)

Siyo rahisi kumtambua msichana kuwa huyu ni mgumba, unless otherwise awe alitoa kizazi

All the best
 
Mitandao haina watu.. Ni haohao wa 'mitaani' ndio haohao wa mitandaoni na nguo haohao wa majumbani na kati yao ni ndugu zetu wa karibu kabisa

Jr[emoji769]
Nami pia nahitaji mwanamke wa design hiyo Ila umri wake usiwe chini ya miaka 45.
Akipatikana naoa.
 
Pole Sana ilaungesema

Pole Sana ungesema tatizo tukusaidie humu Kuna wataalam wa masuala ya uzaz wa kike na kiume wa hospital na mitishamba ,ugumba unatibika Ila utasa hautibiki,ukiwa tayari nitafute nikusaidie kukuambia mizizi ya kuchimba huko uliko uchemshe unywe inaeza kukusaidia inshaAllah....Ila kila la kheri na Mungu akupe hitaji la moyo wako
 
Wewe ndo huna akili kabisa...sina haja ya kuelezea zaidi,nahisi bado mtoto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…