Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
madam boss, nakumbusha ukipunguza miaka nitafute.Habari zenu.
Nimekuja Kwenu . Nimechoshwa na upweke.
Mimi ni msichana wa 27years,natafuta mchumba ambae atakuwa serious kuwa na familia na si kupotezeana mda.
Sifa Zake.
Awe na miaka kuanzia 35-45,awe na kazi nzuri inayomuingizia kipato halali,,
Awe na mapenzi ya dhati, msafi, mcheshi, anaejali.
Mimi Sina hela kwa hiyo sitaki mwanaume mwenye shida Kama zangu.
Mario hawahitajiki.
Nipo serious, nimechoshwa na upweke kwa kweli.
Mwanaume ntakaye mpata, ambae atakuwa mume wangu hatojutia kunifahamu. Ntampenda.
Mnakaribishwa pm.
Sibagui dini. [emoji120][emoji120][emoji120]
[emoji23]Hapana. Ngoja wajinga wajinga watajitokeza. Sisi wajanja hatuwezi kujilipua hivyo. Ngoja wawekezaji n wadhadhili watajitokeza. Mimi binafsi sijawahi kuona mchezaji wa Simba analipwa na Yanga
SawaKuwa na amani
Ila mkuu mwenyewe
Mwalimu Wangu Aliniambia Ukitaka Kumpima Mtu Ukomavu Wa Akili Yake Tazama Na Sikiliza AnavyoongeaHabari zenu.
Nimekuja Kwenu . Nimechoshwa na upweke.
Mimi ni msichana wa 27years,natafuta mchumba ambae atakuwa serious kuwa na familia na si kupotezeana mda.
Sifa Zake.
Awe na miaka kuanzia 35-45,awe na kazi nzuri inayomuingizia kipato halali,,
Awe na mapenzi ya dhati, msafi, mcheshi, anaejali.
Mimi Sina hela kwa hiyo sitaki mwanaume mwenye shida Kama zangu.
Mario hawahitajiki.
Nipo serious, nimechoshwa na upweke kwa kweli.
Mwanaume ntakaye mpata, ambae atakuwa mume wangu hatojutia kunifahamu. Ntampenda.
Mnakaribishwa pm.
Sibagui dini. [emoji120][emoji120][emoji120]
A word of advise sio lazima utilie maanani.Habari zenu.
Nimekuja Kwenu . Nimechoshwa na upweke.
Mimi ni msichana wa 27years,natafuta mchumba ambae atakuwa serious kuwa na familia na si kupotezeana mda.
Sifa Zake.
Awe na miaka kuanzia 35-45,awe na kazi nzuri inayomuingizia kipato halali,,
Awe na mapenzi ya dhati, msafi, mcheshi, anaejali.
Mimi Sina hela kwa hiyo sitaki mwanaume mwenye shida Kama zangu.
Mario hawahitajiki.
Nipo serious, nimechoshwa na upweke kwa kweli.
Mwanaume ntakaye mpata, ambae atakuwa mume wangu hatojutia kunifahamu. Ntampenda.
Mnakaribishwa pm.
Sibagui dini. [emoji120][emoji120][emoji120]
Pole wewePole