Natafuta mchumba mwenye lengo la ndoa na kuanzisha familia

Natafuta mchumba mwenye lengo la ndoa na kuanzisha familia

Habari zenu,

Nimekuja kwenu . Nimechoshwa na upweke.
Mimi ni msichana wa 27years, natafuta mchumba ambae atakuwa serious kuwa na familia na si kupotezeana mda.

Sifa zake;
Awe na miaka kuanzia 35-45, awe na kazi nzuri inayomuingizia kipato halali.
Awe na mapenzi ya dhati, msafi, mcheshi, anaejali.

Mimi sina hela kwa hiyo sitaki mwanaume mwenye shida kama zangu.
Mario hawahitajiki.
Nipo serious, nimechoshwa na upweke kwa kweli.
Mwanaume nitakaye mpata, ambae atakuwa mume wangu hatojutia kunifahamu. Nitampenda.

Mnakaribishwa pm.

Sibagui dini.



mrembo,
tupo wengi wenye sifa hizo,
tunaomba na wewe utuletee jambo picha tuweze kukuhakiki.
 
Habari zenu,

Nimekuja kwenu . Nimechoshwa na upweke.
Mimi ni msichana wa 27years, natafuta mchumba ambae atakuwa serious kuwa na familia na si kupotezeana mda.

Sifa zake;
Awe na miaka kuanzia 35-45, awe na kazi nzuri inayomuingizia kipato halali.
Awe na mapenzi ya dhati, msafi, mcheshi, anaejali.

Mimi sina hela kwa hiyo sitaki mwanaume mwenye shida kama zangu.
Mario hawahitajiki.
Nipo serious, nimechoshwa na upweke kwa kweli.
Mwanaume nitakaye mpata, ambae atakuwa mume wangu hatojutia kunifahamu. Nitampenda.

Mnakaribishwa pm.

Sibagui dini.
Wanaume, hamuwezi kumsaidia mwanamke mpaka ufanye nae mapenzi?
 
Habari zenu,

Nimekuja kwenu . Nimechoshwa na upweke.
Mimi ni msichana wa 27years, natafuta mchumba ambae atakuwa serious kuwa na familia na si kupotezeana mda.

Sifa zake;
Awe na miaka kuanzia 35-45, awe na kazi nzuri inayomuingizia kipato halali.
Awe na mapenzi ya dhati, msafi, mcheshi, anaejali.

Mimi sina hela kwa hiyo sitaki mwanaume mwenye shida kama zangu.
Mario hawahitajiki.
Nipo serious, nimechoshwa na upweke kwa kweli.
Mwanaume nitakaye mpata, ambae atakuwa mume wangu hatojutia kunifahamu. Nitampenda.

Mnakaribishwa pm.

Sibagui dini.
Hakuna mwanamke asiependa kuwa mke wa mtu
 
Habari zenu,

Nimekuja kwenu . Nimechoshwa na upweke.
Mimi ni msichana wa 27years, natafuta mchumba ambae atakuwa serious kuwa na familia na si kupotezeana mda.

Sifa zake;
Awe na miaka kuanzia 35-45, awe na kazi nzuri inayomuingizia kipato halali.
Awe na mapenzi ya dhati, msafi, mcheshi, anaejali.

Mimi sina hela kwa hiyo sitaki mwanaume mwenye shida kama zangu.
Mario hawahitajiki.
Nipo serious, nimechoshwa na upweke kwa kweli.
Mwanaume nitakaye mpata, ambae atakuwa mume wangu hatojutia kunifahamu. Nitampenda.

Mnakaribishwa pm.

Sibagui dini.
umenipata bila shuruti
 
Ngoja nijaribu tu
Nilikucrush mda fulani samahani sana mkuu, sasa una bahati kuna jamaa kafungua uzi anatafuta mke anaitwa ngoma mdundo sana mcheki pliz mkuu upate faraja ya moyo wako.
 
Ukikuta Mwanaume Mwenye Umri 35+

Ambaye Hana Mtt Wala Mke Au Hata Hayupo Katika Mahusiano Ambayo Yatapelekea Ndoa Bass Uyo Si Mwanaume Bali Ni Katoon

Mapenz Hayana Umri Kabila Wala Langi

Mapenz Ni Hisia
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Watu walisha bomoa kitambo alafu anasema after ndoa crazy mindset
mpaka hapo bado wanafukunyua tu, ala anakuja kijana wa watu na nia njema eti anaambiwa mpaka ndoa; Hapa ndipo wanaponiachaga hoi hawa viumbe,
 
Back
Top Bottom