Natafuta mchumba mwenye lengo la ndoa na kuanzisha familia

Natafuta mchumba mwenye lengo la ndoa na kuanzisha familia

Asante kwa kuwa muelewa na kama umelewa ungeondoa vigezo vyako na kuweka tangazo lisilo na Vigezo kwa kuwa Mke Mwema hawezi jitambuwa yeye bali hutambuliwa na muhitaji Mwanaume. Kabla wadada hawajakengeuka na hii mitandao na Ushauri wa Akina Joyce Kiria ilikuwa Mwanamme akikupenda kwanza anakukutanisha na Mama yake au Shangazi yake au Mtu yeyote wa Makamu katika mazingira ambayo hayajaandaliwa ili kujua tabia ya huyo Mtarajiwa, iwe katika kuwaheshimu watu asiowajua, au jinsi anavyoongea, na baana ya yote mrejesho hutolewa kwa Muowaji kuwa pale hakuna kitu na kweli ilikuwa hivyoooo na ukienda kinyume huyo Muawaji atajuta milele..

Siku hizi Mwanamke ndiye anayeweka vigezo tena kwenye mtandao wakati maisha yake ni ya kustaajabisha na wengine tokea wakiwa wadogo Mkanisani hawaendi lakini umri ukienda ndipo anapoanza kujipendekeza kwenda kumuona mchungaji ili amuombee aondokane na upweke..

Khee nani kakudanganya...

Pole
 
Asante kwa kuwa muelewa na kama umelewa ungeondoa vigezo vyako na kuweka tangazo lisilo na Vigezo kwa kuwa Mke Mwema hawezi jitambuwa yeye bali hutambuliwa na muhitaji Mwanaume. Kabla wadada hawajakengeuka na hii mitandao na Ushauri wa Akina Joyce Kiria ilikuwa Mwanamme akikupenda kwanza anakukutanisha na Mama yake au Shangazi yake au Mtu yeyote wa Makamu katika mazingira ambayo hayajaandaliwa ili kujua tabia ya huyo Mtarajiwa, iwe katika kuwaheshimu watu asiowajua, au jinsi anavyoongea, na baana ya yote mrejesho hutolewa kwa Muowaji kuwa pale hakuna kitu na kweli ilikuwa hivyoooo na ukienda kinyume huyo Muawaji atajuta milele..

Siku hizi Mwanamke ndiye anayeweka vigezo tena kwenye mtandao wakati maisha yake ni ya kustaajabisha na wengine tokea wakiwa wadogo Mkanisani hawaendi lakini umri ukienda ndipo anapoanza kujipendekeza kwenda kumuona mchungaji ili amuombee aondokane na upweke..

Khee nani kakudanganya...

Pole
Jf mnajema basi [emoji41]
 
Jf mnajema basi [emoji41]
JF ni watu Makini sana sema siku hizi JF imekuwa kama Dar Hotwire, au Penpal ila JF ile ya zamani tunayoijua siye haya mambo ya kuishi kwa kinadharia hayakuwepo watu walikuwa very contained kwenye mambo ya msingi.. Mfano wewe umeleta hii mada lakini kiuhalisia hilo hitaji siyo la kweli kabisa ila unaona acha tu usogeze siku na kuwainjoy watu...

You can not be serious at all..
 
JF ni watu Makini sana sema siku hizi JF imekuwa kama Dar Hotwire, au Penpal ila JF ile ya zamani tunayoijua siye haya mambo ya kuishi kwa kinadharia hayakuwepo watu walikuwa very contained kwenye mambo ya msingi.. Mfano wewe umeleta hii mada lakini kiuhalisia hilo hitaji siyo la kweli kabisa ila unaona acha tu usogeze siku na kuwainjoy watu...

You can not be serious at all..
Kweliii mkuu
 
Nina 33,mkulima Kalambo,mcha Mungu.
Aliye tayari tuyajenge.
Sharti tuanze msingi wa maisha pamoja.
 
JF ni watu Makini sana sema siku hizi JF imekuwa kama Dar Hotwire, au Penpal ila JF ile ya zamani tunayoijua siye haya mambo ya kuishi kwa kinadharia hayakuwepo watu walikuwa very contained kwenye mambo ya msingi.. Mfano wewe umeleta hii mada lakini kiuhalisia hilo hitaji siyo la kweli kabisa ila unaona acha tu usogeze siku na kuwainjoy watu...

You can not be serious at all..
Sijaja kuminjoy mtu
 
Weka picha yako tukuone kwanza ndipo mengine yafuate
 
Wewe unakuja na kipi ili uolewe?Papa tu?papa zinauzwa mitaani mpaka tigo?huna kazi?unajua kukata kiuno?ndio unakuja nacho?unajua usafi wa mazingira mwili na nguo?
 
Wewe una 27 ndo umekua?
Acha zarau
Eti sina hela sitaki alie na shida kama zangu...wewe sema unataka mtu lenye pesa zake ...hutaki masikini
Sasa hapa hamna mke hapa
 
Wewe una 27 ndo umekua?
Acha zarau
Eti sina hela sitaki alie na shida kama zangu...wewe sema unataka mtu lenye pesa zake ...hutaki masikini
Sasa hapa hamna mke hapa
Asante kwa kunielewa
 
Sijaja kuminjoy mtu
basi kama haupo kwa ajili ya kukuza idadi ya mada sawa ila uzoefu wa mada kama zako upo hivyo na wengi wanatumwa kukusanya taarifa za wadau kupitia mada kama zako na hiyo imepelekea watu kutoendelea kuona kuwa kuna fursa kwenye maada kama za aina hizi tena
 
Back
Top Bottom