hapa kwenye hii miaka sina hakika kama utampata!!Awe na miaka kuanzia 35-45,
hapa napo umejichanganya bila kujua, unadhani mwanaume mwenye miaka 35+ mwenye pesa kazipata mwenyewe au unatafuta mchepuko!!!Mimi Sina hela kwa hiyo sitaki mwanaume mwenye shida Kama zangu
Umejiita Madam Boss sasa kwa kujipambanua tu huko ulishakuwa shida........ Siku hizi watu wanahitaji Mwanamke Mwenye Unyenyekevu Mbele za Mungu na Mbele ya Mume .. Mwanamke mwenye kujikweza nani anahitaji hiyo BP.. Sometime they way unavyojiweka ndivyo unavyotafisirika, they way unavyojiita na kujibrand ndivyo unavyotafisirika. Hakuna Mwanaume anayehitaji kupokea matatizo kuwa sehemu ya maisha yake watu wanahitaji Mwanamke Mfariji, Muongozaji , mwenye hofu ya Mungu, Mwenye kujali na kupenda Familia ..Habari zenu,
Nimekuja kwenu . Nimechoshwa na upweke.
Mimi ni msichana wa 27years, natafuta mchumba ambae atakuwa serious kuwa na familia na si kupotezeana mda.
Sifa zake;
Awe na miaka kuanzia 35-45, awe na kazi nzuri inayomuingizia kipato halali.
Awe na mapenzi ya dhati, msafi, mcheshi, anaejali.
Mimi sina hela kwa hiyo sitaki mwanaume mwenye shida kama zangu.
Mario hawahitajiki.
Nipo serious, nimechoshwa na upweke kwa kweli.
Mwanaume nitakaye mpata, ambae atakuwa mume wangu hatojutia kunifahamu. Nitampenda.
Mnakaribishwa pm.
Sibagui dini.
Haya.Ila watu wanaweza kuwa wanatafuta kweli, msiwabeze. Ila vigezo jamani muwe na huruma. Kwanza mwanaume miaka 35 kuja kwako inabidi aache mti au akupange
Ayamadam boss, nakumbusha ukipunguza miaka nitafute.
HayaMariooo tunatengwa sana huku JF tuu ila huku mtaani tuna soko..
Mbona povu. [emoji23][emoji23][emoji23] linakutoka hivyohapo juu hakuna mwanamke bali mjinga fulani hivi asiejua anataka nini wala kesho kitatokea nini,yaani nihangaike peke yangu kutafuta alafu wew uje tu uolewe alafu zile mali nilizotafuta mwenyewe ziwe zetu?,pia kama wew ni bikra hapo sawa LA ni shimo la HEWA hapana carry on to wait for some of the best fools at JF to come;
kwanini wanawake wengi mnataka wanaume tuwe na vile vitu ambavyo hamna ndio tuwaoe?,najua neno hili tu,mwanamke wa kusema hayo ni tegemezi tupu sidhani kama anafaa kuolewa ingawa kulingana na maisha haya kuna watu watajifanya waoaji ngoja waje;
sijatukana;
AsanteAll the best
AmenMi tafsiri ya neno "Kupenda" ndo inaniumizaga kichwa, anyway Kila la heri mkuu, Mungu akupatie hitaji ulitafutalo,
HayaMwalimu Wangu Aliniambia Ukitaka Kumpima Mtu Ukomavu Wa Akili Yake Tazama Na Sikiliza Anavyoongea
Madam Boss Still You Need Lesson
Haya. SubiraSiku ukifika 30+ utapunguza vigezo
Baada ya ndoaHujatueleza, uko upande upi? (a) Sex kabla ya ndoa (b) Sex baada ya ndoa
Asantenakukaribisha pm madam boss
AsanteA word of advise sio lazima utilie maanani.
"HUSBAND MATERIAL IS CREATED, CREATE YOURS"
Kwa namna hii, humu utalia tuu, wanaume siye ni wadonoaji sana na tunapenda kunusanusa tuu. Nikiangalia na huo umri unahitaji awe nao mwanaume, wengine utakuta ni akina siye wenye watoto zaidi ya watatu kila mmoja ana mama ake huko na bado tunaishi kibachela.
Afadhali. Ili Maradi awe mzima tu kiafyaHyo miaka ni mingi sana zaid zaid utapata single father[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Ukibahatika basi utapata mgane
Sina hata shidaPole wewe
Natafuta mumehapa kwenye hii miaka sina hakika kama utampata!!
hapa napo umejichanganya bila kujua, unadhani mwanaume mwenye miaka 35+ mwenye pesa kazipata mwenyewe au unatafuta mchepuko!!!
HayaUmejiita Madam Boss sasa kwa kujipambanua tu huko ulishakuwa shida........ Siku hizi watu wanahitaji Mwanamke Mwenye Unyenyekevu Mbele za Mungu na Mbele ya Mume .. Mwanamke mwenye kujikweza nani anahitaji hiyo BP.. Sometime they way unavyojiweka ndivyo unavyotafisirika, they way unavyojiita na kujibrand ndivyo unavyotafisirika. Hakuna Mwanaume anayehitaji kupokea matatizo kuwa sehemu ya maisha yake watu wanahitaji Mwanamke Mfariji, Muongozaji , mwenye hofu ya Mungu, Mwenye kujali na kupenda Familia ..
@ madam boss
B atasuburi sana, hivi nani atakubali kuuziwa mbuzi kwenye gunia?Hujatueleza, uko upande upi? (a) Sex kabla ya ndoa (b) Sex baada ya ndoa