Natafuta mchumba wa kiume, awe anaishi London

Nyinyi mnatafuta nini ?? πŸ˜³πŸ™„
 
Nimeona mnatafuta utu πŸ™„πŸ˜³
 
Mimi pia nafanya kazi sitafuti maslahi mambo kusaidiana πŸ™πŸ™
 
Ila dada angu Muombe Mungu kwa wingi amka usiku uswali umuombe Allah swalatul istikhara Allah anaweza kukukubalia ombi lako
Huku mitandaoni sidhani kma ni pazuri kwa kutafuta mume au mke
Kweli nimeona
 
40 years bado unaweka mashart? Na 20s wafanyeje? Ukifika 50 nishtue nimekaa pale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…