Wewe nenda kauze mahindi ya kuchoma hapo stand ya Kibaha.bibie acha ubaguzi.kwa hyo Mimi wa vikawe kibaha haunitaki
We nipende tu tutaonana ukija likizo.miaka 41 sio ya kuchagua mume
Wewe nenda kauze mahindi ya kuchoma hapo stand ya Kibaha.
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
π³πbibie acha ubaguzi.kwa hyo Mimi wa vikawe kibaha haunitaki
We nipende tu tutaonana ukija likizo.miaka 41 sio ya kuchagua mume
ππMe nakuombea dua tu upate hitaji lako
Sio hapa kabisaUmeshampata?
Nyinyi mnatafuta nini ?? π³πShida ya wanawake wa sasa wanatafuta mfanyakazi au mfanyabiashara kwenye ndoa. Badala ya kutafuta mume ndiyo maana hamuolewi.
Hata akikuoa siku akifukuzwa kazi au biashara zikiyumba utamkimbia. Mnatanguliza masilahi mbele kuliko utu.
Kumbuka ndoa ni maisha halisi. Kuna kufukuzwa kazi, biashara kuyumba au kuugua. Utaweza kuvumilia hayo ikiwa uliingia kwenye ndoa kwasababu mumeo ni muajiriwa, amejiajiri au mfanyabiashara? Maneno ya busara yamenukuliwa kutoka Kwa Wong Fei
Nimeona mnatafuta utu ππ³Shida ya wanawake wa sasa wanatafuta mfanyakazi au mfanyabiashara kwenye ndoa. Badala ya kutafuta mume ndiyo maana hamuolewi.
Hata akikuoa siku akifukuzwa kazi au biashara zikiyumba utamkimbia. Mnatanguliza masilahi mbele kuliko utu.
Kumbuka ndoa ni maisha halisi. Kuna kufukuzwa kazi, biashara kuyumba au kuugua. Utaweza kuvumilia hayo ikiwa uliingia kwenye ndoa kwasababu mumeo ni muajiriwa, amejiajiri au mfanyabiashara? Maneno ya busara yamenukuliwa kutoka Kwa Wong Fei
Mimi pia nafanya kazi sitafuti maslahi mambo kusaidiana ππShida ya wanawake wa sasa wanatafuta mfanyakazi au mfanyabiashara kwenye ndoa. Badala ya kutafuta mume ndiyo maana hamuolewi.
Hata akikuoa siku akifukuzwa kazi au biashara zikiyumba utamkimbia. Mnatanguliza masilahi mbele kuliko utu.
Kumbuka ndoa ni maisha halisi. Kuna kufukuzwa kazi, biashara kuyumba au kuugua. Utaweza kuvumilia hayo ikiwa uliingia kwenye ndoa kwasababu mumeo ni muajiriwa, amejiajiri au mfanyabiashara? Maneno ya busara yamenukuliwa kutoka Kwa Wong Fei
Vizuri saaana ππMiaka 41 +mwanaume awe hana mtoto !????ina maana unatafuta mgumba sjui tasa sjui!!Sawa wapo watakuja lakini
ππIn-shaAllah hitaji la nafsi na moyo wako litimie na liwe lenye barka!!!
ππ
Kweli nimeonaIla dada angu Muombe Mungu kwa wingi amka usiku uswali umuombe Allah swalatul istikhara Allah anaweza kukukubalia ombi lako
Huku mitandaoni sidhani kma ni pazuri kwa kutafuta mume au mke
Pambana na lali yako na wa20 waulize wao40 years bado unaweka mashart? Na 20s wafanyeje? Ukifika 50 nishtue nimekaa pale
Nitakushitua nikifika 50 ukiwa bado uhai40 years bado unaweka mashart? Na 20s wafanyeje? Ukifika 50 nishtue nimekaa pale
Wacha wajeMiaka 41 +mwanaume awe hana mtoto !????ina maana unatafuta mgumba sjui tasa sjui!!Sawa wapo watakuja lakini
ππIn-shaAllah hitaji la nafsi na moyo wako litimie na liwe lenye barka!!!
ππUpate hitaji la moyo wako, kila la kheri
ππMe nakuombea dua tu upate hitaji lako