Natafuta mchumba wa kiume, awe anaishi London

Itakuwa vizuri kupata zawadi yako
 
Nimesha waona πŸ™πŸ™
 
Ila dada angu Muombe Mungu kwa wingi amka usiku uswali umuombe Allah swalatul istikhara Allah anaweza kukukubalia ombi lako
Huku mitandaoni sidhani kma ni pazuri kwa kutafuta mume au mke
Kweli kabisa
 
Sawaaaa
 
Lakini atapata na ataolewa Mkuu....Mamdogo wangu kafunga harusi mwaka Jana akiwa na 43 .palipo na mwanamke aliyechelewa kuolewa,pana mwanaume pia aliyechelewa kuoa
Amesema jioni yeye asubuhi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…