Zanzibar2014
JF-Expert Member
- Nov 13, 2022
- 743
- 591
- Thread starter
-
- #321
Subiri usinitanie uyo wewe kwenye picha?? ππNipo London ..
Nina miaka 42, nimeshika dini.
Ni muhasibu katika mojawapo ya shirika binafsi.
Hebu tuwasiliane mrembo nijichukulie jiko kiulaini
Chengine umesoma profile yangu yote?? ππNipo London ..
Nina miaka 42, nimeshika dini.
Ni muhasibu katika mojawapo ya shirika binafsi.
Hebu tuwasiliane mrembo nijichukulie jiko kiulaini
London ya mwanza ndio ipi ??Sis wa Dar tumeelimik tupo krbu na London ya mwanza
HunifaiKama ungekuwa na 20s, tungerudi nyumbani kufunga ndoa
Hhhhhhmmmmmminsha'Allah natamn nikuwe rafk yako.
Nani kasema siko sawa ??41 huna mtoto, kama uko sawa basi hongera sana sana..
Nakutizameni tu ikibwabwaja, mlifikiria nina papara ya ndoa.41 huna mtoto, kama uko sawa basi hongera sana sana..
ππππKwa hiyo umeona wote humu ni akina dada wenye matiti?Hamna waume humu na kwa kweli hatuendani kabisa, sipendi maneno mimi.
Mimi naomba unipokee tu nakuja London mwakani April kwa matembezi ya wiki moja tu, tunaweza juana kuanzia hapo.Mimi ni wanamke ninae penda kuwa na amani na furaha wakati wote. Natafuta mchumba atakaekuwa
pia anataka kuwa kwenye ndoa.
Mimi sina watoto ambae pia hana watoto. Najitahidi kuwa kwenye misingi ya dini na ambae pia yuko kwenye misingi ya dini.
Naipenda kazi yangu na nahitaji mume wangu mtarajiwa pia awe anafanya kazi. Naishi London, natoka Zanzibar, nafanya kazi ya ofsini mimi ni meneja wa ofisi, tunahusika na uhasibu.
Nina miaka 41, nahitaji mume wangu mtarajiwa awe na miaka kuanzi 41, muislamu na awe anaishi London pia,
rangi sio tatizo lakini awe kanizidi urefu, mimi ni 5'2".
Ahsanteni sana.
Ndiyo..tunataka tukukule kwani Ni tatizo?Mbona wewe huji, uko sawa lakini ??
Kwa akili zako hizi hakuna mwanaume utapata hii dunia..Nakutizameni tu ikibwabwaja, mlifikiria nina papara ya ndoa.
Kwani wewe ndio huyo wa kwenye iyo picha?Subiri usinitanie uyo wewe kwenye picha?? [emoji120][emoji120]
HahahahaKwani wewe ndio huyo wa kwenye iyo picha?
SawaKwa akili zako hizi hakuna mwanaume utapata hii dunia..
Kwa unaushamba fulani hivi na ulimbukeni. .
Usichukulie serious Sana ujumbe wangu
WowNdiyo..tunataka tukukule kwani Ni tatizo?
WowMimi naomba unipokee tu nakuja London mwakani April kwa matembezi ya wiki moja tu, tunaweza juana kuanzia hapo.