Natafuta mchumba wa kiume, awe anaishi London

Kwa akili zako hizi hakuna mwanaume utapata hii dunia..

Kwa unaushamba fulani hivi na ulimbukeni. .


Usichukulie serious Sana ujumbe wangu
Ushamba Fulani πŸ€¦πŸ½β€β™€οΈπŸ€¦πŸ½β€β™€οΈ
 
Kuna Mzee mmoja mtaani kwetu alikuwa na binti zake vigori wazuri sn,,
Mzee alikuwa mkali sn kwa binti zake.
Hakutaka Mwanaume yeyote asogee nyumbani kwake.

Getini akaandika mbwa mkali hapa

Binti walipofikisha miaka 30 bila ndoa,

Akaandika getini tunauza icream tamu hapa


unatafuta mchumba ukiwa na Miaka 41 bado una vigezo kibao?
Sasa ni muda wa kulegeza masharti.
 
Ndio
&
Wow
 
Hihihihihihi kwa kweli πŸ€£πŸ˜‚
 
Nimecheka mnooo, ahsante saaana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…