Natafuta mchumba wa kiume

Mmi ni Dada nina miaka 27 nina mtoto mmoja natafuta mwanaume Wa kujenga nae ndoa sifa zangu mim ni mpole mcha mungu mkalimu pia mwanaume ninae mtaka aweanajitambua mchapa kazi mwenye mapenz ya kweli karibu umri awe na kuanzia 29
Mungu akupe wepesi
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Sasa mkuu hofu yako nini?
Mzigo si uliuchakata vizuri?
 
Mmi ni Dada nina miaka 27 nina mtoto mmoja natafuta mwanaume Wa kujenga nae ndoa sifa zangu mim ni mpole mcha mungu mkalimu pia mwanaume ninae mtaka aweanajitambua mchapa kazi mwenye mapenz ya kweli karibu umri awe na kuanzia 29

Uliisha pata MME?
Kama
Bado pls ni PM na mm natafuta mke ahamie Mbeya tuanze maisha
 
Natumaini huo mchumba wakiume wenye korido za six parts kiwambaza kilichojaza na self contained wenye manyoya na mustach na maji ndani na nje yakufyatuka fyaaaaa meupe umeshaupata tayari.
 
That is Trouble making
Ndugu yangu haya mambo bana.

Uko na mkeo mmetulia mtu anaanza mara kuongea ongea kwenye simu ukiuliza unaambiwa ni baba wa mtoto. Mara anaanza kuja na kwako kumuangalia mwanae. Utamfukuza?
 
Mmi ni Dada nina miaka 27 nina mtoto mmoja natafuta mwanaume Wa kujenga nae ndoa sifa zangu mim ni mpole mcha mungu mkalimu pia mwanaume ninae mtaka aweanajitambua mchapa kazi mwenye mapenz ya kweli karibu umri awe na kuanzia 29
Kwenye Ac niwe na sh.ngapi?
 
Ndugu yangu haya mambo bana.

Uko na mkeo mmetulia mtu anaanza mara kuongea ongea kwenye simu ukiuliza unaambiwa ni baba wa mtoto. Mara anaanza kuja na kwako kumuangalia mwanae. Utamfukuza?
niliwahi kudet na single mother, baba mtoto alikua anasumbua sana, na vitisho juu nkaona isiwe tabu nkakata ticket Shabiby nkasepa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…