Baadae ni lini?Natafuta mchumba baadae awe mke wangu.
Awe na sifa zifuatazo;
1.Mzuri kama Heaven on Earth
2.Tabia nzuri kama Heaven Sent
3.Awe na exposure kama kui
4.Awe amesoma na awe na akili kama Karucee
Mwenye sifa hizi zote ani PM nimpe wasifu wangu.
PouwaJana.
Ndio kazuri sasa hako,kanakupa ari ya kutafuta zaidiHako kanapenda sana pesa!
Mama usitubanie fursa wenzio, hebu sema fasta niwahi AM kabla haijawa PM
Yaani huyu mcheza mieleka soon itabidi tusaidiane maana sio kwa mateke haya, acha tu nizurure kidogo.Naimarisha ulinzi..Mana nimekuona unazurula huku
Mama vigezo vimenitupa mkono[emoji134]
We hujui utamu wa mihogo eeh, iwekwe na kachumbari, acha kabisa.ha ha ha mihogo tena!
kama ndo baba mkwe namchukua mwanangu fasta
Khaaaah mchumba acha ubahiri, si ndio utapata hasira za kuzisaka zaidiHako kanapenda sana pesa!
Hebu nipigie debe mama, takukumbuka kwenye ufalme wangu.Ndio kazuri sasa hako,kanakupa ari ya kutafuta zaidi
Hahahaaaaa! Sasa wewe utaniharibia nikose mchumbaTeh!, labda ya coco beach...🙂
Halafu wewe atoto sehemu zako za kutoka zitakuwa za faranga nyingi kwa hiyo wala huhitaji X-pozha. Unaipata karibu kila siku.
Tusonge wapi sasa kwani sie hatuhitaji wachumba?Duh wewe na timu yako ving'ang'anizi! Si nishawaambia msonge >>>>>>>>>>>
Mbona huweki sasa? Nimesubiri hadi nimechoka.Oh bro umeniwahi aisee...ukishapata uniambie na mimi niweke langu. Don't want to compete.
We hujui utamu wa mihogo eeh, iwekwe na kachumbali, acha kabisa.