Natafuta mchumba

Natafuta mchumba

Wana JF baada ya interviews na mchujo mkali sana hatimaye nimepata mchumba! Ila kama nilivyosema awali kulikuwa na kila dalili ya ku-compromise na imebidi nifanye hivyo.

Vigezo vinne nilifikiri ni vichache sana, na kiukweli ni vichache ila vimekuwa adimu humu JF au wenye navyo washachuliwa kama King'asti . Kwahio nimempata ambae angalau amefikia vigezo kwa at least 60% kwenye kila kigezo ila niseme ukweli kigezo cha exposure ilibidi ni-standardize maanake score zilikuwa very low.

Asanteni kwa comment zenu zimesaidia sana kujenga zaidi ya kubomoa. I'm officially taken ukiniona PM kwako nakuruhusu uje kunisemea.
Siamini macho yangu. Ndio kusema sina changu? Lazma naota. Kweli sometime mashauzi siyo kabisa. Naona tuwivu x wangu amepata mfariji
 
Wewe sio wa kukosa mchumba hata!
Tufundishe tu wengine kwenda vijiwe vyako vya faranga nyingi. Wengine hatujui.
Tena kuna kimoja kiko mujini mnakaa mnakula huku mnazunguka mnaiona Dar yote. Mweh!

Heaven Sent panaitwaje tena pale? huyu atoto atakuwa hapo kama kwake.
Hahahaaaaa!! Mtoto una kumbukumbu we sikuwezi, hebu ondoka usijenipotezea bahati[emoji85] [emoji85] [emoji85]
 
  • Thanks
Reactions: kui
Dressing me nikajua mambo ya nguo tena au kufanyaje kidonda sijui. Kumbe wa mjini mna maana yenu nyingine shaa, x-pozha yangu negative

Nyie wenye x-pozha ndo mnakula salad Hehehe nicheke mnyaki mie. hapa kula tu, diet peleka mjini aaah. Afu huyo petit sijui ndo petit man wakuache au kitu gani?
Utakulaje majani kama ng'ombe[emoji134] watu wa mujini wana balaa hawa!
 
Baada ya kukosa vigezo naona juhudi zote mnaziweka kwenye kukatisha wenzenu tamaa.......Mimi nimeweka vigezo vinne tu, mbona kuna mabinti humu wanaweka gazeti la vigezo?!!! Mkuki kwa nguruwe............
We hapa sibanduki hadi vigezo vigeuke aisee!
 
Ndio maana nilitoa kigezo cha exposure kama yako....hajui pale coco nakula mihogo na ma-bilionare wenzagu Wahindi!
Kwani mie nilikataa basi mchumba? Najaribu tu kupunguza jam.
 
Hahaha Ukiona mtu anakata tamaa ujue vigezo hana, mwenye vigezo anawahi Pm . Sisi vigezo hatuna, nani kasema au unatubembeleza kiujanja ili tuapply? Hivyo vigezo mbona vya kawaida tena ukiweza ongezea tu, sisi tumeover qualify buana
[emoji8] [emoji8] [emoji8]
Piteni hivi >>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>
Hebu acha fujo bwana, mchumba inatakiwa awe mnyenyekevu.
 
Kwani sio hiyo alokuwa anamaanisha[emoji134] [emoji134] basi nikajiona nimeelewaaaa mwenyewe[emoji24]
Hahhaah kweli wewe x-pozha huna, hiyo dressing ya kwenye vyakula eti. Sasa sijui chakula unakivalisha nguo, ngachoka mie
 
Siamini macho yangu. Ndio kusema sina changu? Lazma naota. Kweli sometime mashauzi siyo kabisa. Naona tuwivu x wangu amepata mfariji
Hivi ujue viboko vitakuhusu we mtoto[emoji57] [emoji57]
 
Hahhaah kweli wewe x-pozha huna, hiyo dressing ya kwenye vyakula eti. Sasa sijui chakula unakivalisha nguo, ngachoka mie
Maeee! Imbombo ngafu[emoji134]
No wonder jina lako limekatwa, una bichwa gumu khaaa. Mchumba ashapatikana, kazi yako ni kuandaa tu ngoma za kisukuma
Hahahaaaa! Uwiiii Mentor fanya fasta basi, ila tafadhali sana punguza vigezo angalau tu iwe mpenda hela pekee.
 
Back
Top Bottom