Natafuta Meneja wa kunisimamia katika kazi zangu

Mjinga kweli wewe wa kunitisha mimi? 😁 nenda kwenye account za kigogo 2014 kanitafute ujue nipoje... chunga sana
Habari yako, Muandishi naona umeomba kubadili jina.. Jina shemasi lina uhusiano na Kigogo2014?

kwa tunaoitaji kuchukua vitabu kuanzia vitatu kuna punguzo lolote? Na wapi vinapatikana ?
 
Habari yako, Muandishi naona umeomba kubadili jina.. Jina shemasi lina uhusiano na Kigogo2014?

kwa tunaoitaji kuchukua vitabu kuanzia vitatu kuna punguzo lolote? Na wapi vinapatikana ?
Halina uhusiano mkuu nimemjibu huyo kwasababu ameenda fb kuchukua picha yangu na kuja kunitisha huku. Nikamwambia sijaanzq kutishiwa leo akitaka kunijua vizuri aende kwenye page za kigogo akanisome vizuri...... then issue ya vitabu vipo softy copy na hard copy ... ila kwa hard copy mbaka sasa vipo vitabu vitatu ambavyo ni hivi chini ........ kama upo dar es salaam ukitaka hard copy tunakuletea utachangia usafiri ila kama upo mkoan usafiri ni elf 5... bei ya vitabu imetofautiana inategemea unataka kipi ... pia softy copy tunatuma kwa bei nzuri kabisa no 0711359904
 
Shemasi gani una lugha chafu hivyo kwenye mitandao...?
Ngoja tumwandikie Ruwaichi ujumbe aje aone matusi ya shemasi wake.
Nisamehe boss yaishe 🙏 mambo ya ruwaichi mbona hayahusiani huku.
 
Umeanziaha Uzi ukiwa na majina Yako halisi Pascal Weston baada ya kugundua umechemsha unaenda edit jina bila kukumbuka kama ulishajiweka UCHI tena upenuni.
We nae akiri kizibo kweli sasa hivyo nibadilishe jina kwaajili ya Mtu? Hizo book cover nilizo post zimeandikwa jina la dada ako? Kaza wewe watakupuliza shauri yako
 
We nae akiri kizibo kweli sasa hivyo nibadilishe jina kwaajili ya Mtu? Hizo book cover nilizo post zimeandikwa jina la dada ako? Kaza wewe watakupuliza shauri yako
Akiri=akili. Hata ikiwa kizipo inanitosha sio ka wewe mwenye jaba la akili lakini imevurugwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…