Shemasi 3rd
Member
- Jun 1, 2024
- 98
- 104
- Thread starter
-
- #61
hasira za Umasikini wako usikufanye uje uwavae watu ambao hatuhusiki.. ndio nimetoa and nimekuzidi kila kitu kuanzia elimu hadi maisha...... Diamond,davido na wasanii wote wakubwa wanajiweza ila wanahitaji muongozo wa management...... # ukijiona una IQ ndogo usijihushe na matopiki makubwa kama haya unaaibisha ukoo wako#kejeri ni nini?
sasa kama unatoboa unatafuta manager wa nini?
Shemasi kaandika Greek😄
Haya bhana Shemasi kila la kheri.Ndg nirekebishe sehem ambayo haina makosa? Mbona ujuaji mwing...i uliza ina maana gani
Sawa manager wangu🙏Haya bhana Shemasi kila la kheri.
Shemasi mjuaji sana! Hata meneja sidhani kama watawezana! Anajifanya anajua kila kitu! Develolopment..kejeri ni nini?
sasa kama unatoboa unatafuta manager wa nini?
Ila hongera sana!Sawa manager wangu🙏
Sasa Paroko amekupitisha kama kilivyo Deacon zaidi ya 6 wamekupitia na kimepita mimi nakwambia hakuna typing error ila ww unasema zipo sasa ndugu manager unabishana na mwandishi?Shemasi mjuaji sana! Hata meneja sidhani kama watawezana! Anajifanya anajua kila kitu! Develolopment..
Sisi tunamkumbusha tu makosa madogo madogo Tena kwenye Book Cover ni Bora typing errors zionekane ndani ya kitabu..
Au ndo Ile "Don't Judge A book By Its Cover"🤣
Kwani paroko ndo wako perfect? Au kikipitiwa na hao deacons ndo kinakuwa kitakatifu? Hata huo mfano wa youth iliyokosewa, upo sehemu moja, ambayo nayo walikosea. Kuna mmoja alitaka kukusitiri kwenye fasihi, lakini umejiumbua kwa mambo mawili. La kwanza, kusema kwamba hayo maneno yanatumika hasa huko EU kunaondoa dhana kwamba uliyakosea kwa makusudi. La pili, kwa aina ya vitabu unavyoviandika, kukosea neno kwenye cover hakumaanishi ubobevu. Labda kama soko la vitabu vyako ni nduguzo na rafikizo. Anyway, they're your books, and so your ..amn businessSasa Paroko amekupitisha kama kilivyo Deacon zaidi ya 6 wamekupitia na kimepita mimi nakwambia hakuna typing error ila ww unasema zipo sasa ndugu manager unabishana na mwandishi?
Kunywa maji mkuu then relax ushaanza kuandika ujinga mambo ya utakatifu yana husiana nini hapa? .... mimi ndio mwandishi naakili timamu. ninacho sema HAKUNA TYPING ERROR mbona una lazimisha mambo kwamba kila kitu una kijua? Au unajua ndani kimeandikwa nini? Punguza ujuaji sio kila kitu unakijua vingine kubali hauvijui boss🙏Kwani paroko ndo wako perfect? Au kikipitiwa na hao deacons ndo kinakuwa kitakatifu? Hata huo mfano wa youth iliyokosewa, upo sehemu moja, ambayo nayo walikosea. Kuna mmoja alitaka kukusitiri kwenye fasihi, lakini umejiumbua kwa mambo mawili. La kwanza, kusema kwamba hayo maneno yanatumika hasa huko EU kunaondoa dhana kwamba uliyakosea kwa makusudi. La pili, kwa aina ya vitabu unavyoviandika, kukosea neno kwenye cover hakumaanishi ubobevu. Labda kama soko la vitabu vyako ni nduguzo na rafikizo. Anyway, they're your books, and so your ..amn business
Kunywa maji mkuu then relax ushaanza kuandika ujinga mambo ya utakatifu yana husiana nini hapa? .... mimi ndio mwandishi naakili timamu. ninacho sema HAKUNA TYPING ERROR mbona una lazimisha mambo kwamba kila kitu una kijua? Au unajua ndani kimeandikwa nini? Punguza ujuaji sio kila kitu unakijua vingine kubali hauvijui boss🙏
Akiri tena shemasi au ndo ulitaka kusema akili..?Watanzania sisi tunasumbuliwa sana na Afya ya akiri.. karibu kwa huduma St joseph
Any ways Mimi nimejiongeza nikakuelewa shemasi lakini haujaweka bei🤣🤣Habari wakuu
Naitwa Shemasi Pascal Weston. Kutoka St. Joseph Dar es salaam
Ni muandishi wa vitabu mbalimbali vya Sheria, Haki za binaadamu, motivation pamoja na kufanya research mbalimbali
Mpaka sasa nimesha andika vitabu zaidi ya 6 kama nilivyo weka cover zake hapo chini.
View attachment 3005595View attachment 3005596View attachment 3005608 Ntafuta meneja atakaye weza kunisimamia katika kazi zangu hizi.. namba yangu ni 0711359904
Sio Hongera kweli..?? Au na mimi ni mjuajiOngera
Sorry mkuu shemasi ndiyo padre?Kabla huja comment jiridhishe sana mkuu najua nacho kifanya mbaka nafikia level ya U shemasi sijarushwa tu nimepitia hatua zote. So hakuna Typing error hapo Asante.
Wewe ni kilazaHabari wakuu
Naitwa Shemasi Pascal Weston. Kutoka St. Joseph Dar es salaam
Ni muandishi wa vitabu mbalimbali vya Sheria, Haki za binaadamu, motivation pamoja na kufanya research mbalimbali
Mpaka sasa nimesha andika vitabu zaidi ya 6 kama nilivyo weka cover zake hapo chini.
View attachment 3005595View attachment 3005596View attachment 3005608 Ntafuta meneja atakaye weza kunisimamia katika kazi zangu hizi.. namba yangu ni 0711359904
Shemasi amekuwa na typo sehemu Muhimu sana.Kama title ya kitabu tu Ina typing errors, je ndani..?!
Nafikiri Unatafuta kichaka cha kujificha.Typing error sio tatizo la mwandishi ni tatizo la mchapaji.Ndio maana kuna watu wanaitwa proof readers ambao hulipa kwa idadi ya makosa ya kisarufi n.k. ambayo awatayakuta kwenye andiko lako.Ni kweli lakini pia mwandishi wa fasihi ana ruhusa ya kuvunja sarufi ya lugha ili kukidhi alichokikusudia.
Pia mwandishi anaweza kuvunja sarufi ya lugha ili kuonesha mvurugano au mkanganyiko katika jamii yake,mfano kitabu cha The beutiful ones are not yet born,mwandishi kaandika the beautyful ones instead of beautiful,
wewe shemasi umenizidi kitu gani? labda kusoma Biblia na mimi nimekuzidi kusoma Quran.hasira za Umasikini wako usikufanye uje uwavae watu ambao hatuhusiki.. ndio nimetoa and nimekuzidi kila kitu kuanzia elimu hadi maisha...... Diamond,davido na wasanii wote wakubwa wanajiweza ila wanahitaji muongozo wa management...... # ukijiona una IQ ndogo usijihushe na matopiki makubwa kama haya unaaibisha ukoo wako#