The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Umeamua kuja na ID nyingine eeh!Wewe ni mwanaume ama mwanamke unatuhaibisha sisi wanaume wenzio unabishana na mbususu kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeamua kuja na ID nyingine eeh!Wewe ni mwanaume ama mwanamke unatuhaibisha sisi wanaume wenzio unabishana na mbususu kweli?
Umeamua kuja na ID nyingine eeh!
Wewe ni mwanaume ama mwanamke unatuhaibisha sisi wanaume wenzio unabishana na mbususu kweli?
Njoo pm nikupe namba ya shekh baruani yuko namanyere....
Keep on playing hide n' seek but nothing will change,utamaliza multiple ID zote.[emoji23][emoji23][emoji23]wanaume wanakushangaa wewe mwanamke au mwanaume ebooo?yani ID ni moja tu nifungue fake ID kwa ajili ya kukujibu wewe,wewe kama nani?toka uzi unaanza unajifanya kunikomalia zaidi unajiaibisha tu maana nipo nawe mpaka maneno yakuishe....
Huwezi kushindana na mwanamke kwa maneno ukiweza basi we mwanamke pia[emoji28][emoji28][emoji28]
Na iwapo mbaya wako katumia silaha aina hiyo???Changamoto ni kwamba silaha unayotaka kuitumia huwa ina tabia ya kumrudia aliyeitafuta na kuitumia.
Kaingia cha Kike🤣 🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23]wanaume wanakushangaa wewe mwanamke au mwanaume ebooo?yani ID ni moja tu nifungue fake ID kwa ajili ya kukujibu wewe,wewe kama nani?toka uzi unaanza unajifanya kunikomalia zaidi unajiaibisha tu maana nipo nawe mpaka maneno yakuishe....
Huwezi kushindana na mwanamke kwa maneno ukiweza basi we mwanamke pia[emoji28][emoji28][emoji28]
Ice Breaker 0Keep on playing hide n' seek but nothing will change,utamaliza multiple ID zote.
Ice Breaker 0Keep on playing hide n' seek but nothing will change,utamaliza multiple ID zote.
Ukifanikiwa nistue mkuu, mana na mimi nina jambo langu, kuna mtu kanirudisha enzi za ujima kimasiharaUsisemee mioyo ya watu,pengine na mimi nimesharogwa sana tu,usiyoyajua yasikupe shida
Hapa jambo ni moja tu na lazima likamilike hakuna ushauri wa kurudi nyuma
Dunia ndio hii na sisi ndio walimwengu
Noma sana!Kama upo series kabisaa.
Panda basi nenda hapo Liwale, kuna kijiji kinaitwa Ngende.
Watu wa mahubiri si ndio watakuokoa usipagawe na mapepo!Poleni na majukumu ya kila siku
Nimekuja na ID yangu hii sina haja ya kujificha
Moja kwa moja kwenye mada,nahitaji msaada kama kuna mtu anamjua mganga wa uhakika anifanyie kazi yangu, kuna waganga huwa nasikia wanatoa watu mabusha, wanatuma majini au kumpa mtu ugonjwa nahitaji mganga wa hivyo
Hii dunia ina mengi,na ikifika kipindi cha vita unaambiwa usichague silaha,nahitaji jambo langu likamilike kwasababu kuna watu wanaweza kukukosea heshima mpaka wakapitiliza, ukimya na subira ni muhimu lakini kuna watu huwa wanaona kama umezubaa
Nikifanikiwa kazi yangu nitakupa ya shukrani sina hiyana
Watu wa mahubiri hapa sio sehemu yake.
Nawashukuruni naamini nitapata msaada wenu
Kwa umakini na busara nilitakiwa nilipwe pesa zangu tangu mwaka jana.Mambo ni yale yale.Kitakachogeuka badae kitakua ni kulogana.kwasababu hata hao utakaowaloga nao watapambana kujiagua mwishoni watajua ni wewe watajibu mashambulizi.Kwasababu wataalamu wanaotumika kuloga ndio hao hao wanaoagua.kwahiyo mnaweza kujikuta mmeangamizana uku wataalamu wakineemeka.Kwahiyo haya mambo yanahitaji umakini na busara sana.
Kaingia cha Kike🤣 🤣🤣
Ice Breaker 0
Maya Angelou 8
🤭🤭
Nishapata connections tatu! Jiandae🤣🤣🤣Fita ni Fita Mura[emoji23]
Nimesubscribe kabisa...