Natafuta mganga wa kienyeji konki

Natafuta mganga wa kienyeji konki

Hio zawadi hao waganga wote watakuwa wamekutunzia wewe, wanakuogopa? Hujasoma hapo juu huyo mke wa mtu aliyelala kwa mganga siku tatu ili simu yake ipatikane? Siku tatu!!!! Na usiku wanaamshana kupiga stori!!! Na anasimulia kwa furaha!!!!

Au umesahau kisa cha mwaka Jana mganga kakutwa na zaidi ya chupi 50 za wake za watu wateja wake, akiipaka dawa yule mwanamke anajipeleka mwenyewe anamzini, ni rotation tu inaendelea.

Au wale waliotangazwa ITV wiki iliyopita, familia iliyopeleka watoto wao 3 wakiume wakazindikwe, dawa inatolewa usiku, wote wakalawitiwa!!! Eti nao wamekasirika wanatoa taarifa polisi !!!!
Wanawake wanaliwa kimasihara sana, kuna kisa Cha mganga yeye alikua anasema anawatibu wanawake wasioshika mimba, wakienda sharti ni moja tu anapaka dawa kwenye kichwa Cha ndonga ndo anamuingizia mwanamke

Wao wanaona wanawekewa dawa kumbe ndo wameshaliwa tayari wakienda wasiposhika mimba wakirud kwa mganga anawaambia ulikosea masharti ngoja turudie kupaka dawa anaibararua tena, maza mmoja alivyoona analiwa sana akaamsha noma kashasuguliwa Zaid ya mara 5 ndo akashtuka anatoa kiburudisho kwa msela kumbe hapakwi dawa wala nini
 
Hivi bado mnapambana tuu kusaka waganga? Mbona rahisi sana jmn tumesha wapatia hadi namba kabisaa kupiga unashindwa?
Tatizo la watu wa sasa anataka kusaidika huku yeye mikono karudisha nyuma! Toa pesa upate pesa ama tatizo lako lifanikiwe!
Number ya ukweli apo ni ya imma tu
 
Hio zawadi hao waganga wote watakuwa wamekutunzia wewe, wanakuogopa? Hujasoma hapo juu huyo mke wa mtu aliyelala kwa mganga siku tatu ili simu yake ipatikane? Siku tatu!!!! Na usiku wanaamshana kupiga stori!!! Na anasimulia kwa furaha!!!!

Au umesahau kisa cha mwaka Jana mganga kakutwa na zaidi ya chupi 50 za wake za watu wateja wake, akiipaka dawa yule mwanamke anajipeleka mwenyewe anamzini, ni rotation tu inaendelea.

Au wale waliotangazwa ITV wiki iliyopita, familia iliyopeleka watoto wao 3 wakiume wakazindikwe, dawa inatolewa usiku, wote wakalawitiwa!!! Eti nao wamekasirika wanatoa taarifa polisi !!!!
Dah mganga na chupi 50 kweli mnganga kiboko. Wapi wanatoa mafunzo ya uganga niende na mie niwe nakula mbususu za wake za watu?
Alafu kumbe hii fantasy ya kubaki na chupi za mrembo uliye mgegeda tunayo wengi🤣🤣🤣🤣
 
Hio zawadi hao waganga wote watakuwa wamekutunzia wewe, wanakuogopa? Hujasoma hapo juu huyo mke wa mtu aliyelala kwa mganga siku tatu ili simu yake ipatikane? Siku tatu!!!! Na usiku wanaamshana kupiga stori!!! Na anasimulia kwa furaha!!!!

Au umesahau kisa cha mwaka Jana mganga kakutwa na zaidi ya chupi 50 za wake za watu wateja wake, akiipaka dawa yule mwanamke anajipeleka mwenyewe anamzini, ni rotation tu inaendelea.

Au wale waliotangazwa ITV wiki iliyopita, familia iliyopeleka watoto wao 3 wakiume wakazindikwe, dawa inatolewa usiku, wote wakalawitiwa!!! Eti nao wamekasirika wanatoa taarifa polisi !!!!
Dah mganga na chupi 50 kweli mnganga kiboko. Wapi wanatoa mafunzo ya uganga niende na mie niwe nakula mbususu za wake za watu?
Alafu kumbe hii fantasy ya kubaki na chupi za mrembo uliye mgegeda tunayo wengi🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom