Natafuta mganga wa kienyeji konki

Natafuta mganga wa kienyeji konki

Dah mganga na chupi 50 kweli mnganga kiboko. Wapi wanatoa mafunzo ya uganga niende na mie niwe nakula mbususu za wake za watu?
Alafu kumbe hii fantasy ya kubaki na chupi za mrembo uliye mgegeda tunayo wengi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Waganga wanachakata sana mbususu.
 
Mimi ni kijana naishi DSM, niliachana na mke wangu mwaka 2020 baada ya kugundua ni mshirikina, toka nimemwacha kwangu imekuwa shida ananiendea kwa waganga ili anidhuru.

Amenivurugia mipango yangu ya maendeleo hakuna ninachofanya kikafanikiwa.

Naomba msaada kwa anayejua mganga konki wa kuweza kunisaidia kadhia hii ikiwezekana hata kulipa kisasi.
 
Nna first born wangu hatari sana class! Akipata mtihani 90% anakasirika sana ,yeye anataka 100% tu.
Toka darasa la kwanza hadi sasa darasa la tano ni namba moja mitihani yote.

Sasa hapa kati kuna jambo la kushangaza, anaweza kuamka usiku macho yanawasha analia sana,tukienda kwa wataalamu wa macho ,wanasema hana tatizo.
Tutakaa mwezi wala hana shida,mara tatizo linaaanza tena,mara nyingi usiku akiwa amelala.

Sasa kwa scene kama hii tutakwepa vipi kupambana kwa waganga?

Kanisani tunakwenda,na kwa waganga tunakwenda,jino kwa jino.
 
Panda gari za njombe...shuka wangama ni kabla ya kufika njombe mjini. Utakutana na kijana anaitwa imma mtoto wa mwandulami.
Bora tu usionee mtu. Kama umeonewa atakupeleka mahali utanena yoote ambayo unataka mbaya wako ayapitie ...
Baada ya muda kweli kama umeonewa utayaona mengi sana yakiyokea.
Namba ya imma nitakupatia ukihitaji.
Ila dhambi yako nisiulizwe.
Kuna muda unaonewa hadi unatamani ufe
Emma sio mtoto wa marehemu mwandulami, Bali ni mkwe wake, kaoa Binti yake.

Huko asiende hakuna kitu.
 
Back
Top Bottom