Unataka Kwa akili ya Nini!? Kuna waliospecialize kwenye fani mbali mbali
1) kesi
2)kumdhuru mgoni
3) kumdhuru mwizi wa Mali Yako
4) kuzuia wizi nk
Nb SEMA unataka yupi tukupe namba!??
Usikubali kuonewa na mtu
Mbona ni kawaida hiyo nilishuhudia kwa macho yangu dokta anatushauri hivyo mgonjwa alikuwa baba yangu mzaziHEe...yaani Dk akawashauri mtafte mganga wa kienyeji!? Aise..hongera kwa kupona
🤣🤣Utaibiwa hapa...
Jirani hujamboWanakuja
Nimefika aseme shida yakeWanakuja
🤣🤣Acha ubahili waganga wanatafutwa mbali,dar wamejaa masela wenye njaa kama wewe
Malingumu yupo kiwira rungwe mbeya
TumefikaWanakuja
NimekujaWanakuja
Hiyohiyo na chips zege..Chumvi ya mawe mkuu