Natafuta mganga wa kienyeji konki

Natafuta mganga wa kienyeji konki

Wakuu mambo vp?

Nina ishu serious sana inanisumbua nahitaji mganga mwenye uwezo wa kunitatulia tatizo langu. Maana wengi nilioenda hawana suluhisho la muda mrefu ni kama wanakutibu ndani ya muda mfupi tatizo linarudi tena!

Nipo Dar akipatikana aliye Dar itapendeza zaidi.

N.B: Wale wa chumvi ya mawe, mara sijui nimwombe Mungu yote hayo nayajua lakini siyataki kwenye uzi huu. Nataka watu wenye miamba konki ya kutatua tatizo langu.
Kwamba yule aliyeumba ulimwengu, viumbe vyote ,na akamuumba huyo mganga unayemtafuta HUMUAMINI kwamba anaweza kutatua tatizo lako?

🤔 give me a break , anyways maisha ni kuchagua ila mimi ushauri wangu ni usipoteze pesa kwa hao waganga instead toa hiyo pesa sadaka kwa wasiojiweza halafu Muombe Mola muumba wa vyote kwa nia thabiti kabisa halafu JUST WAIT 🖐️
 
Wakuu mambo vp?

Nina ishu serious sana inanisumbua nahitaji mganga mwenye uwezo wa kunitatulia tatizo langu. Maana wengi nilioenda hawana suluhisho la muda mrefu ni kama wanakutibu ndani ya muda mfupi tatizo linarudi tena!

Nipo Dar akipatikana aliye Dar itapendeza zaidi.

N.B: Wale wa chumvi ya mawe, mara sijui nimwombe Mungu yote hayo nayajua lakini siyataki kwenye uzi huu. Nataka watu wenye miamba konki ya kutatua tatizo langu.
Mtafute jamaa anaitwa Mshana Jr, nasikia wenyeji hapa Dar wanasema bonge la kigagula
 
Back
Top Bottom