Natafuta mganga wa kienyeji konki

Natafuta mganga wa kienyeji konki

mganga - witch doctor

Sawa.
Kuna maradhi mengine hayatibiki Hospitali, ila wao wanaweza hasa maradhi ya Viini macho.

Kuna mgonjwa anakuwa anaumwa ile serious kabisa, lakini kila kipimo atapimwa na ugonjwa hautaonekana.

Baadhi ya Madaktari ikifika stage hii atawaita ndugu wa Mgonjwa atawaambia Ugonjwa huu sio wa Hospitalini, kwahiyo ndugu mtatikiwa kujiongeza either muende Mkakanyage Mafuta au Muende huko kwingine
 
Kuna maradhi mengine hayatibiki Hospitali, ila wao wanaweza hasa maradhi ya Viini macho.

Kuna mgonjwa anakuwa anaumwa ile serious kabisa, lakini kila kipimo atapimwa na ugonjwa hautaonekana.

Baadhi ya Madaktari ikifika stage hii atawaita ndugu wa Mgonjwa atawaambia Ugonjwa huu sio wa Hospitalini, kwahiyo ndugu mtatikiwa kujiongeza either muende Mkakanyage Mafuta au Muende huko kwingine
Sawa semaji la waganga.

Naomba namba basi
 
Kuna maradhi mengine hayatibiki Hospitali, ila wao wanaweza hasa maradhi ya Viini macho.

Kuna mgonjwa anakuwa anaumwa ile serious kabisa, lakini kila kipimo atapimwa na ugonjwa hautaonekana.

Baadhi ya Madaktari ikifika stage hii atawaita ndugu wa Mgonjwa atawaambia Ugonjwa huu sio wa Hospitalini, kwahiyo ndugu mtatikiwa kujiongeza either muende Mkakanyage Mafuta au Muende huko kwingine
Nipe namba y mganga wako tafadhali
 
Back
Top Bottom