mganga - witch doctorMganga = Doctor
Doctor a person who is qualified to treat people who are ill.
Nipm ila uwe tayari kwa loloteKweli nina shida ya mganga
Nataka hela ziwe tu zinaingia mpesa bila mimi kuhangaika kuamka asubuhi kufanya kazi
Am redeeeeeeNipm ila uwe tayari kwa lolote
Mkuu mbona unaleta masihara kwenye uzi wangu[emoji23][emoji23]Kweli nina shida ya mganga
Nataka hela ziwe tu zinaingia mpesa bila mimi kuhangaika kuamka asubuhi kufanya kazi
Basi fanya nlivyokuelekezaAm redeeeeee
Mradi nipate hela tu mimi
Kuna maradhi mengine hayatibiki Hospitali, ila wao wanaweza hasa maradhi ya Viini macho.mganga - witch doctor
Sawa.
Sawa semaji la waganga.Kuna maradhi mengine hayatibiki Hospitali, ila wao wanaweza hasa maradhi ya Viini macho.
Kuna mgonjwa anakuwa anaumwa ile serious kabisa, lakini kila kipimo atapimwa na ugonjwa hautaonekana.
Baadhi ya Madaktari ikifika stage hii atawaita ndugu wa Mgonjwa atawaambia Ugonjwa huu sio wa Hospitalini, kwahiyo ndugu mtatikiwa kujiongeza either muende Mkakanyage Mafuta au Muende huko kwingine
Nipe namba y mganga wako tafadhaliKuna maradhi mengine hayatibiki Hospitali, ila wao wanaweza hasa maradhi ya Viini macho.
Kuna mgonjwa anakuwa anaumwa ile serious kabisa, lakini kila kipimo atapimwa na ugonjwa hautaonekana.
Baadhi ya Madaktari ikifika stage hii atawaita ndugu wa Mgonjwa atawaambia Ugonjwa huu sio wa Hospitalini, kwahiyo ndugu mtatikiwa kujiongeza either muende Mkakanyage Mafuta au Muende huko kwingine
Kuchumbia...wana pisi kali hukoKwa waganga mnaendaga kufanyaje π³π³
Unataka nikupe namba ya Mganga yupi, wa Limbwata kali ambayo ukimuwekea Mtoto wa Mtu awe anakuletea Mshahara wote au ya Kujengewa Nyumba Mbezi Beach π?Sawa semaji la waganga.
Naomba namba basi
Ya limbwata kali sanaUnataka nikupe namba ya Mganga yupi, wa Limbwata kali ambayo ukimuwekea Mtoto wa Mtu awe anakuletea Mshahara wote au ya Kujengewa Nyumba Mbezi Beach π?
Mganga wangu ni wa Utajiri tu, hapa nataka nimtoe kafara Binti mmoja ninunue Ghorofa hapo Masaki π€ͺNipe namba y mganga wako tafadhali
OkKuchumbia...wana pisi kali huko
Kwa waganga mnaendaga kufanyaje [emoji15][emoji15]
Na huyo binti awe ni binti yako ulomzaaMganga wangu ni wa Utajiri tu, hapa nataka nimtoe kafara Binti mmoja ninunue Ghorofa hapo Masaki π€ͺ
πππ naombeni nambaWanaenda kuruka kamba
Una maswali ya ngumi wewe[emoji23][emoji23]
Unahakika hako kabint kana nyota isiwe ya giza giza shauriyakoπMganga wangu ni wa Utajiri tu, hapa nataka nimtoe kafara Binti mmoja ninunue Ghorofa hapo Masaki π€ͺ
Nitakutumia hiyo namba ila tafadhari huyo unayetaka kumwekea Limbwata asiwe Mwanangu tu, manake first born wangu yupo hapo Mjini na Mimi Baba yake bado namtegemea kwa mia mbili mbili anazonitumiaga π€ͺππYa limbwata kali sana
Nikishaletewa huo mshahara mie nitajiongeza kujenga masion langu π€