πππ hapo sikushauri,, ukimtupia hapo yatakurudia nakwambia.Ana mwili wa wastani, sio mwembamba sana wala Mnene π€ͺ
Mganga wa mchongo wewe nishakushtukiaπ€£π€£π€£Basi msije tena pm sina koneksheni kama hela hamna π€£
Mwanangu bado nampenda, Mimi na Bibi yenu ndiyo Jicho letu huyoLaki3 cha mtoto ba mkwe
Lete namba hizo nmkaange kijana
Mnapenda vya bure sioMganga wa mchongo wewe nishakushtukiaπ€£π€£π€£
Vya bure raha sanaπ€£π€£Mnapenda vya bure sio
Vina gharama zakeVya bure raha sanaπ€£π€£
Umefanya nicheke kwa sauti, kumbe watu wa hivyo wanakuwaga wameaga kwao.πππ hapo sikushauri,, ukimtupia hapo yatakurudia nakwambia.
Watu wa dizain hizo wanakuwaga wameaga makwao
Yericko Nyerere ,yeye ni mkuu wa wachawi og.Wakuu mambo vp?
Nina ishu serious sana inanisumbua nahitaji mganga mwenye uwezo wa kunitatulia tatizo langu. Maana wengi nilioenda hawana suluhisho la muda mrefu ni kama wanakutibu ndani ya muda mfupi tatizo linarudi tena!
Nipo Dar akipatikana aliye Dar itapendeza zaidi.
N.B: Wale wa chumvi ya mawe, mara sijui nimwombe Mungu yote hayo nayajua lakini siyataki kwenye uzi huu. Nataka watu wenye miamba konki ya kutatua tatizo langu.
Umejuaje kama kana nyota ya ela nipe maujuz NAMI nione namuelezaje huyo mganga ukinipa nambaπKuna mchepuko mmoja nataka nimfanyie, nimeangalia mahali nimeona ana nyota kali sana ya Hela.
Hapa napambana kumvuta aje aje π€ͺππ
Kwanza nilimuuliza Majina yake halisi na Mwezi aliozaliwa. Alipotaka kunidanganya nikapiga simu kule wanaposajiri Vizazi nikajua alizaliwa wapi na lini.Umejuaje kama kana nyota ya ela nipe maujuz NAMI nione namuelezaje huyo mganga ukinipa nambaπ
Milard yeye anaangalia viewers tuYule hamnazo ππ milard ayo anachoka sana
ππKwanza nilimuuliza Majina yake halisi na Mwezi aliozaliwa. Alipotaka kunidanganya nikapiga simu kule wanaposajiri Vizazi nikajua alizaliwa wapi na lini.
Then biashara ikawa imeisha π€ͺ
Mimi sio best yako[emoji23][emoji23][emoji23] bestiiiiii
Mambo ni gani kiongozi?
Ndio kula yake hana namna ila yule mama ana vituko kweli.Milard yeye anaangalia viewers tu
Hivi jamii forums haina uwezo wa mtoa uzi ablock koment asizozitaka kwenye uzi wake...maana kuna raia vichwa ngumu kwel[emoji35]
Dah..ila watuπ€Sio Waganga wote waliopo dsm ni matapeli, Mwaka 2014 nilipopata tatizo kubwa kabisa lililohatarisha ustawi wangu binafsi na familia yangu, aliyenitibu alikuwa Mganga wa hapo hapo DSM, bahati mbaya sina mawasiliano yake kwasasa.