Natafuta mganga wa kienyeji konki

Natafuta mganga wa kienyeji konki

😂😂😂 hapo sikushauri,, ukimtupia hapo yatakurudia nakwambia.
Watu wa dizain hizo wanakuwaga wameaga makwao
Umefanya nicheke kwa sauti, kumbe watu wa hivyo wanakuwaga wameaga kwao.

Ngoja nione, mwezi ujao nataka nimtumie hela kumvuta, akija tu namfungia ndani siku mbili baadaye mtanisoma nami nimekuwa Bilionea 🤗
 
Wakuu mambo vp?

Nina ishu serious sana inanisumbua nahitaji mganga mwenye uwezo wa kunitatulia tatizo langu. Maana wengi nilioenda hawana suluhisho la muda mrefu ni kama wanakutibu ndani ya muda mfupi tatizo linarudi tena!

Nipo Dar akipatikana aliye Dar itapendeza zaidi.

N.B: Wale wa chumvi ya mawe, mara sijui nimwombe Mungu yote hayo nayajua lakini siyataki kwenye uzi huu. Nataka watu wenye miamba konki ya kutatua tatizo langu.
Yericko Nyerere ,yeye ni mkuu wa wachawi og.
 
Umejuaje kama kana nyota ya ela nipe maujuz NAMI nione namuelezaje huyo mganga ukinipa namba😂
Kwanza nilimuuliza Majina yake halisi na Mwezi aliozaliwa. Alipotaka kunidanganya nikapiga simu kule wanaposajiri Vizazi nikajua alizaliwa wapi na lini.

Then biashara ikawa imeisha 🤪
 
Kwanza nilimuuliza Majina yake halisi na Mwezi aliozaliwa. Alipotaka kunidanganya nikapiga simu kule wanaposajiri Vizazi nikajua alizaliwa wapi na lini.

Then biashara ikawa imeisha 🤪
😂😂
 
YESU ndio jibu kaka hakuna shortcut leta jina lako inbox tukuweke kwenye maombi
 
Sio Waganga wote waliopo dsm ni matapeli, Mwaka 2014 nilipopata tatizo kubwa kabisa lililohatarisha ustawi wangu binafsi na familia yangu, aliyenitibu alikuwa Mganga wa hapo hapo DSM, bahati mbaya sina mawasiliano yake kwasasa.
Dah..ila watu🤔
 
Back
Top Bottom