Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapo waganga wa kweli wa kupambania hayo ila siyo kwa moshi, jitahidi kufika Tanga.Ni kweli haingwi ila mf. Umeishi na imani hiyo tokea mdogo na Sasa shukurani ni kutoolewa hadi 35, kila kazi unafukizwa ikifika miezi 3, ukipata mwanaume anaota ajali anakufaa huyo Yesu anakuangalia wanadamu wakikupiga mashambulizi hadi basi .
Anachokupa ni uhai. Mateso kama yote nimeishi Mimi na majini ya ndugu wa mama yangu miaka na miaka naomba kanisani kama Nini nimetupwa chooni nyota imeshushwa nimefungwa halafu wewe upo Yesu ndio suluhisho unamjua umemuonaga . Ni Bora mtu tu awe mpagani
Ameshapata Asante Kwa ushauriWapo waganga wa kweli wa kupambania hayo ila siyo kwa moshi, jitahidi kufika Tanga.
Kweli hawakupi directly direction wanakupa zaidi wale walioshindwana nao kweli alipigwa sanaHumu ni kufurahishana tu! Hakuna alie serious ambae atakupa muongozo sahihi wa kutatua mambo yako zaidi zaidi utapigwa…waliowahi kuanza kutaka hii Misaada hapo zamani kidogo baadhi ndio walipewa directions na wanarudi kusema wamefanikisha ila ukiwaomba na Wewe wakupe muongozo wanakunja.
Ni kweli Mshana ana huruma sana.! Mungu akubariki kwa hilo kaka Mshana JrMshana nishamsoma ana huruma sihitaji huruma hapa nahitaji kazi ikamilike sio lisala za kumuachia Mungu sitaki hizo
Mfundeni kijana mwenzenuWewe ni mwanaume ama mwanamke unatuhaibisha sisi wanaume wenzio unabishana na mbususu kweli?
[emoji23]Ice Breaker 0
Maya Angelou 8
[emoji2960][emoji2960][emoji2960]
Kumbe yote yalianzia huku hadi mtu kaswagiwa kwenye chupa?Wawezya woo!🤔🤔🤔Poleni na majukumu ya kila siku, nimekuja na ID yangu hii sina haja ya kujificha.
Moja kwa moja kwenye mada, nahitaji msaada kama kuna mtu anamjua mganga wa uhakika anifanyie kazi yangu, kuna waganga huwa nasikia wanatoa watu mabusha, wanatuma majini au kumpa mtu ugonjwa nahitaji mganga wa hivyo.
Hii Dunia ina mengi, na ikifika kipindi cha vita unaambiwa usichague silaha, nahitaji jambo langu likamilike kwasababu kuna watu wanaweza kukukosea heshima mpaka wakapitiliza. Ukimya na subira ni muhimu lakini kuna watu huwa wanaona kama umezubaa.
Nikifanikiwa kazi yangu nitakupa ya shukrani sina hiyana. Watu wa mahubiri hapa sio sehemu yake.
Nawashukuruni naamini nitapata msaada wenu.
Matapeli hao,mbona wenyewe maskini siku zote 🤔Hizi namba ziache kuwalaghai watu ya kwamba wao wanatoa utajiri ni waganga 0689653938, 0693148344, 0785732293 na 0685395802
Huu wa kuliwa ndogo kuna mzee mmoja namfahamu, ni tajiri ila mtaa mzima anajulikana kwa kukazwa na vijana. Akikazwa leo jesho wateja ni wakutosha ofisini kwake.Kwani mimi nimetangaza nahitaji utajiri kama wewe ndgu!!
Kaza fuvu hilo, kuna matajiri wanakupa mpunga na wewe unakua punga....
Na mijitu mizima lakini ni hovyo hovyo nadhani wanakuwa ni kula kulalaMatapeli hao,mbona wenyewe maskini siku zote 🤔
Fanya kazi acha uvivu,na kutaka Kitonga🤔Habari ya wakati huu ndugu, kama unamjua mganga popote hapa TANZANIA mwenye uwezo wa kumfanya mtu apate mali (PESA) Kwa njia yoyote au freemason na una uhakika 100% tafadhali unisaidie kunielekeza. Natafuta sana hilo jambo
Nipo Moshi
0748 605 404
mmojwapo ni mtu mmoja maarufu sana mwenye miaka kama 50 hivi ila ndio ivyo tena akili zake ni za kisoda licha kuwa ni baba wa familia. Yani ni mpumbavu sana sijapata kuona mtu mzima mjinga na fala kama yeye.Matapeli hao,mbona wenyewe maskini siku zote 🤔
Nakubarliana na wewe, Ila kulingana na hali ninayo ipitia kwa Sasa Sina budi kutafuta namna ya kujinasua ndugu yangu. Hatuwezi kusubili tu mambo yaje yenyewe, tunapaswa kujipambania kwa Kila namna.Bro lakini kiuhalisia life ni tight, huoni watu kitaaa?,
Hili gurudumu ni gumu kiasi kwamba unaweza uhisi kuna mkono wa mtu kumbe laaa.