Natafuta mganga wa kienyeji konki

Huogopi kutapeliwa? Tafuta wachungaji uombewe matatizo yako yaishe, achana na waganga wa kienyeji ni matapeli hao
 
Kama bado uko Kanda ya ziwa hama.. Hata kama hujui unaenda wapi. Nitakupa experience yangu mm.
mm nilipokuwa naishi nilikuwa na maisha magum mnoo. Vocha shida, ukipata mchongo wa elfu 30 inapita mwezi hupat hela nyingine. Yani elfu 30 Ile unatumia mwezi mzima pamoja na kujichanganya kariakoo kama winga haikufua dafu.
ajabu kila nkitoka mazingira Yale kubadili upepo napata hela nyingi zaid ya Ile. Nkawa napakwepa, stress zikapungua na mpaka Sasa nikienda ni kutembea tu. Viungo, husda na shirki vipoo.. Ila cha kwanza kabisa
BADILI MAZINGIRA KABISA, HAMA
 
Nashukuru kwa ushauri wako, nimejaribu kuzunguka sana mpaka Sasa nipo kwenye hii mikoa ya nyanda za juu kusini. Nimezunguka mikoa ya Kanda ya ziwa, Kanda ya Pwani lakini hakuna sehemu nimepata hauweni ya maisha ndugu yangu. Baada ya kukaa na kufikiria sana ndyo nikapata wazo la kumtafuta mtaalamu nipate tiba kama nitakuwa na changamoto.
 
Unataka kufanikiwa kupitia shughuli/kazi gani? Tuanzie hapo kwanza.

Na Je, ndoto au mipango yako ni kuwa mtu wa namna gani?

Nakuuliza hivi kwa sababu nimekuja kugundua kuwa kwenye haya maisha, watu wengi tuna changamoto ya kutojua tunataka nini kwenye maisha na ni njia au namna ipi ya kutumia kupata hicho tunachotaka.

Mambo mengine yatafuatia kulingana na majibu yako!
 
Unataka kufanikiwa kupitia shughuli/kazi gani? Tuanzie hapo kwanza.

Na Je, ndoto au mipango yako ni kuwa mtu wa namna gani?

Mambo mengine yatafuatia kulingana na majibu yako!
Natamani sana kufanya biashara ya mazao, mbali na hapo ata nikipata kazi ambayo itaniingizia kipato halali na chenye kukidhi mahitaji yangu siyo mbaya. Natamani sana kuwa na biashara iliyo sitawi vyema ambayo itasaidia kuniondoa kwenye huu ukata nilionao kwa Sasa. Natamani niwe na pesa nyingi.
 
Nenda ngende liwale huko

Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
 
Namuuliza uko tayari kwani kuna jamaa alitumbukiza kamba ziwani, akaambiwa avute bila kutazama nyuma, alipogeuka kidogo akaona ni baba yake mzazi, akaachia kamba na kutimua mbio. Ndio maana anarudia mara nyingi kuwa "utathubutu?".
 
Naweza pata mganga wapi kwa moshi .kuna watu wana zuia mambo yangu inabidi niwanyooshe sitaki vita na serikari
 
Njoo dm
 
Mtafute huyu wa Leo wa simba!
 
Geita sehemu gani hasa?
 
Yaani mlininyima konekshen ?, Unamfata mtu inbox anakuzingua tu. [emoji2]lakini mm ni nani [emoji848] Nilipanga safari Nikatua sumbawanga mzima mzima. Ngoja nitawaletea bonge la mirejesho.
Tunasubiri hio namba iweke pm yangu
 
Mkuu na wewe ukipata usinisahau japo kuja kwa dm yangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…