Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama bado uko Kanda ya ziwa hama.. Hata kama hujui unaenda wapi. Nitakupa experience yangu mm.Habari zenu ndugu zangu?
Naomba msichoshwe na heading ya huu Uzi, najua Kuna nyuzi nyingi za namna hii zimekwisha kuandikwa humu. Nimejaribu kutafuta msaada kwenye nyuzi zilizopita Ila sijafanikiwa kupata msaada, ndiyo maana nimechukua maamuzi ya kuanzisha Uzi mpya.Kama kichwa cha habari kinavyo someka hapo juu, Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 35, naishi kwenye hii mikoa ya nyanda za juu kusini.Kulingana na changamoto ninazopitia kwenye maisha mpaka muda huu nahisi kupoteza tumaini kabisa kwenye aya maisha. Kila ninachofanya kinafeli. Kwa hali niliyonayo sasa sina kazi, Hela, nina ishi maisha ya kuungaunga na ya upweke, nahisi kutengwa na kukataliwa na kila mtu.Nimekuwa nikiishi maisha ya namna hii toka nimeanza harakati za kujitegemea mwaka 2010, nimefanya vibarua mbalimbali sehemu tofauti tofauti kuanzia viwandani, site za ujenzi, biashara ndogo ndogo, uvuvi, nimelima sana mahindi na alizeti, Ila mpaka Sasa sijafanya chochote cha maana zaidi ya kupata pesa ya kula na kuisaidia familia yangu ambayo ni duni, hali ambayo imepelekea kukaa bila kuoa. Yote hii ni kutokana na hali yangu ya maisha kuwa duni. Natamani sana kuwa na familia lakini changamoto zimekuwa nyingi mpaka nahisi kuchanganyikiwa.Mpaka nimeamua kuandika huku kwenye hili jukwaa ndugu zangu kweli nina shida. Naomba kama Kuna mtu ana connection ya mganga wa kweli ambaye anasaidia kutatua changamoto kama ninazo zipitia Mimi, basi naomba anisaidie namba zake au maelekezo namna ya kufika kwake.Ndugu zangu mpaka naandika hivi nimekwisha kufikiria kwa kina, kwa sasa sina cha kupoteza zaidi ya kuchukua maamuzi haya ya kwenda kwa mtaalamu ili kama nina mikosi na mabalaa ambayo yananiandama basi nikapate kusaidiwa kuondokana nayo. Milango yangu ya mafanikio ikapate kufunguka na kunyooka kama ilivyo kwa wengine.Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa yeyote atakae guswa na bandiko langu. Naomba msaada wa hali na mali ndugu zangu ili na Mimi nijikwamue kwenye hili lindi la ufukara linalo niandama.
Nashukuru sana kwa ushauri wako mkuu.Huogopi kutapeliwa? Tafuta wachungaji uombewe matatizo yako yaishe, achana na waganga wa kienyeji ni matapeli hao
Nashukuru kwa ushauri wako, nimejaribu kuzunguka sana mpaka Sasa nipo kwenye hii mikoa ya nyanda za juu kusini. Nimezunguka mikoa ya Kanda ya ziwa, Kanda ya Pwani lakini hakuna sehemu nimepata hauweni ya maisha ndugu yangu. Baada ya kukaa na kufikiria sana ndyo nikapata wazo la kumtafuta mtaalamu nipate tiba kama nitakuwa na changamoto.Kama bado uko Kanda ya ziwa hama.. Hata kama hujui unaenda wapi. Nitakupa experience yangu mm.
mm nilipokuwa naishi nilikuwa na maisha magum mnoo. Vocha shida, ukipata mchongo wa elfu 30 inapita mwezi hupat hela nyingine. Yani elfu 30 Ile unatumia mwezi mzima pamoja na kujichanganya kariakoo kama winga haikufua dafu.
ajabu kila nkitoka mazingira Yale kubadili upepo napata hela nyingi zaid ya Ile. Nkawa napakwepa, stress zikapungua na mpaka Sasa nikienda ni kutembea tu. Viungo, husda na shirki vipoo.. Ila cha kwanza kabisa
BADILI MAZINGIRA KABISA, HAMA
Natamani sana kufanya biashara ya mazao, mbali na hapo ata nikipata kazi ambayo itaniingizia kipato halali na chenye kukidhi mahitaji yangu siyo mbaya. Natamani sana kuwa na biashara iliyo sitawi vyema ambayo itasaidia kuniondoa kwenye huu ukata nilionao kwa Sasa. Natamani niwe na pesa nyingi.Unataka kufanikiwa kupitia shughuli/kazi gani? Tuanzie hapo kwanza.
Na Je, ndoto au mipango yako ni kuwa mtu wa namna gani?
Mambo mengine yatafuatia kulingana na majibu yako!
Nenda ngende liwale hukoSalaam kwa wote mliopo humu!
Nimezingirwa na spirit za ajabu ajabu sana na hili linanipa shaka na hofu hivyo pia adui zangu wananipa na wamenipa hasira kubwa kwani sitaki kumuachia mungu hili tena acha niende extra miles kupambana na adui zangu....Adui zangu wamenipiga mpaka nimechoka na wamenifanyia makubwa nisiyoweza kutaja hapa lazima niweke codes kwa mabaya hayo ili adui asisande.......
Niende moja kwa moja kwenye mada wakuu natafuta fundi wakunikinga na kupambana na adui zangu maana simuachii mungu tena kama nilivo sema i must go extra miles.....
Ni wapi au ni mikoa na maeneo yapi nitapata mafundi wa ukweli na wabobezi katika hii mikoa.
1.Kilwa masokwa/kivinje.
2.Tanga Pangani.
3.Bagamoyo Pwani.
4.Sumbawanga.
5.Mbeya sijui ni wapi??
6.Mafinga, Njombe...
7.Kanda ya kati....
8.Same na Mwanga.
9.Kigoma.
10.Tabora.
11.Manyara pia nilisikia wana uchawi wa kitofauti na afrika.
12.Au nivuke Congo huko au malawi na kwingineko. Au nivuke zanzibar wakuu napona vipi???
Wapi ni wapi wakuu fundi naamini hii connection itaokoa na wengine humu.
ANGALIZO:
NGONJERA ZA WAHUBIRI ZISIJE HAPA YAANI WAHUBIRI PITENI KIMYA KIMYA HAPA.
Njoo dmMkuu naomba connection hii Nina ndugu yangu mwaka wa sita huu haoni, nae ilitokea ghafla tu, tumezunguka Sana kwa wataalam Sana na hospitali tukishauriwa hivi hivi Ila tumechemka
Njoo dmSalaam kwa wote mliopo humu!
Nimezingirwa na spirit za ajabu ajabu sana na hili linanipa shaka na hofu hivyo pia adui zangu wananipa na wamenipa hasira kubwa kwani sitaki kumuachia mungu hili tena acha niende extra miles kupambana na adui zangu....Adui zangu wamenipiga mpaka nimechoka na wamenifanyia makubwa nisiyoweza kutaja hapa lazima niweke codes kwa mabaya hayo ili adui asisande.......
Niende moja kwa moja kwenye mada wakuu natafuta fundi wakunikinga na kupambana na adui zangu maana simuachii mungu tena kama nilivo sema i must go extra miles.....
Ni wapi au ni mikoa na maeneo yapi nitapata mafundi wa ukweli na wabobezi katika hii mikoa.
1.Kilwa masokwa/kivinje.
2.Tanga Pangani.
3.Bagamoyo Pwani.
4.Sumbawanga.
5.Mbeya sijui ni wapi??
6.Mafinga, Njombe...
7.Kanda ya kati....
8.Same na Mwanga.
9.Kigoma.
10.Tabora.
11.Manyara pia nilisikia wana uchawi wa kitofauti na afrika.
12.Au nivuke Congo huko au malawi na kwingineko. Au nivuke zanzibar wakuu napona vipi???
Wapi ni wapi wakuu fundi naamini hii connection itaokoa na wengine humu.
ANGALIZO:
NGONJERA ZA WAHUBIRI ZISIJE HAPA YAANI WAHUBIRI PITENI KIMYA KIMYA HAPA.
Njoo dmHizi namba ziache kuwalaghai watu ya kwamba wao wanatoa utajiri ni waganga 0689653938, 0693148344, 0785732293 na 0685395802
Mtafute huyu wa Leo wa simba!Poleni na majukumu ya kila siku, nimekuja na ID yangu hii sina haja ya kujificha.
Moja kwa moja kwenye mada, nahitaji msaada kama kuna mtu anamjua mganga wa uhakika anifanyie kazi yangu, kuna waganga huwa nasikia wanatoa watu mabusha, wanatuma majini au kumpa mtu ugonjwa nahitaji mganga wa hivyo.
Hii Dunia ina mengi, na ikifika kipindi cha vita unaambiwa usichague silaha, nahitaji jambo langu likamilike kwasababu kuna watu wanaweza kukukosea heshima mpaka wakapitiliza. Ukimya na subira ni muhimu lakini kuna watu huwa wanaona kama umezubaa.
Nikifanikiwa kazi yangu nitakupa ya shukrani sina hiyana. Watu wa mahubiri hapa sio sehemu yake.
Nawashukuruni naamini nitapata msaada wenu.
Geita sehemu gani hasa?Kuna aliyeko geita ni msukuma aliwah kunionesha advataiz ya kunisaidia kwenye simu yaani ni kiboko si mswahili.
Na hata sijawahi kuonana nae. Ila kweli nilipata hela mpk nikasahau shd kwa muda. Ila hilo lako itabidi muonane. Na atafanya ikitokea ndio umlipe.
Tunasubiri hio namba iweke pm yanguYaani mlininyima konekshen ?, Unamfata mtu inbox anakuzingua tu. [emoji2]lakini mm ni nani [emoji848] Nilipanga safari Nikatua sumbawanga mzima mzima. Ngoja nitawaletea bonge la mirejesho.
Mkuu na wewe ukipata usinisahau japo kuja kwa dm yanguDada nakuunga mkono
Ukipata nisaidie na mimi.
Nimedhulumiwa mil 5.4 walionidhulumu wanadunda tu mjini na wanajibu kunya.
Ninaweza kuwafata front ila nahofia matokeo yake maana nina familia, haitapendeza wanangu na mke wangu kuja kuniona jela, majukumu yangu atatimiza nani.
Tafadhali ukipata usinisahau.
Mkuu angalau tupe maasilianoNjoo hpa simiyu Longa Lombogo hautachajiwa hela, hela utaleta mwenyewe baadae ukishaona matokeo
Hii namba naomba mkuuUje pm kesho ili nitafute.
Ni mtoto wa yule mwandulami mganga maarufu njombe. Alitibu hadi waliologwa wakawa vichaa. Niliona kwa macho yangu