Natafuta mganga wa kienyeji konki

Endelea kutafuta mkuu iyo ni muhimu ukizipata njoo dm
 
Ulimpata na kama haujampata je bado unauhitaji?
 
Ajabu kabisa..
 
Poleni na majukumu ya kila siku, nimekuja na ID yangu hii sina haja ya kujificha.

Moja kwa moja kwenye mada, nahitaji msaada kama kuna mtu anamjua mganga wa uhakika anifanyie kazi yangu, kuna waganga huwa nasikia wanatoa watu mabusha...
Uko wapi upewe namba!!
 
Kama una ona hii mada haikuhusu!, si upite kimya kimya.kwa nini uanzishe vita bira sababu za msingi.?
 
Mwenzenu nimetapeliwa milioni 2 natafuta mganga anipe msaada hela zirudi

nipo mwanza
 

Lipa Wema kwa Ubaya kisha utapata majibu yake.

Ukitenda Wema ni Uganga tosha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…