Natafuta mganga wa kienyeji konki

Natafuta mganga wa kienyeji konki

Kuna mmoja Yuko ukerewe kule ziwa Victoria yule nilimfahamu kwa kumpitia mdgo ake ambae tulikuwa tunaishi nae hapo kibo

Sasa kipindi fln yule bint aliibia pesa zake na rfk ake na walikuwa wanalala wote bas ikabidi bint ampigie kak ake kule ukerewe ili amjulishe jins pesa zilivyoibiwa bas jamaa akaomba apewe namba aongee na yule bint aliyesadikiwa kuiba bint kakana mazima kuwa hajaiba bas jamaa akasema had jioni pesa zipatikane vinginevyo kitakachompata mtu wasilaumiwe mdg ake bas bhba saa Tisa bint yule aliharisha kila kitu tumboni kwa mfuliliso had akakiri kuwa kkaiba na kusukia nywele pesa za watu

Nimemtafuta bint yule sijapa nmb zake anipe nmb za kak ake
Endelea kutafuta mkuu iyo ni muhimu ukizipata njoo dm
 
Poleni na majukumu ya kila siku, nimekuja na ID yangu hii sina haja ya kujificha.

Moja kwa moja kwenye mada, nahitaji msaada kama kuna mtu anamjua mganga wa uhakika anifanyie kazi yangu, kuna waganga huwa nasikia wanatoa watu mabusha, wanatuma majini au kumpa mtu ugonjwa nahitaji mganga wa hivyo.

Hii Dunia ina mengi, na ikifika kipindi cha vita unaambiwa usichague silaha, nahitaji jambo langu likamilike kwasababu kuna watu wanaweza kukukosea heshima mpaka wakapitiliza. Ukimya na subira ni muhimu lakini kuna watu huwa wanaona kama umezubaa.

Nikifanikiwa kazi yangu nitakupa ya shukrani sina hiyana. Watu wa mahubiri hapa sio sehemu yake.

Nawashukuruni naamini nitapata msaada wenu.
Ulimpata na kama haujampata je bado unauhitaji?
 
Poleni na majukumu ya kila siku, nimekuja na ID yangu hii sina haja ya kujificha.

Moja kwa moja kwenye mada, nahitaji msaada kama kuna mtu anamjua mganga wa uhakika anifanyie kazi yangu, kuna waganga huwa nasikia wanatoa watu mabusha, wanatuma majini au kumpa mtu ugonjwa nahitaji mganga wa hivyo...
Ajabu kabisa..
 
Poleni na majukumu ya kila siku, nimekuja na ID yangu hii sina haja ya kujificha.

Moja kwa moja kwenye mada, nahitaji msaada kama kuna mtu anamjua mganga wa uhakika anifanyie kazi yangu, kuna waganga huwa nasikia wanatoa watu mabusha...
Uko wapi upewe namba!!
 
Tambua kua ukishaweka thd hapa jf inakua sio mali yako tena na kila member ana uhuru wa kuchangia kwa mtizamo wake,jf ni an open forums,

Unataka kupangia watu nini cha kuandika? Hivi uko sawa kweli wewe? Unataka kuroga mtu wakati wewe mwenyewe ni hamnazo?

Kubali matokea kua umekataliwa,kuroga hakuwezi kukupa faida yeyote,wewe ni masikini wa fikra.
Kama una ona hii mada haikuhusu!, si upite kimya kimya.kwa nini uanzishe vita bira sababu za msingi.?
 
Mwenzenu nimetapeliwa milioni 2 natafuta mganga anipe msaada hela zirudi

nipo mwanza
 
Poleni na majukumu ya kila siku, nimekuja na ID yangu hii sina haja ya kujificha.

Moja kwa moja kwenye mada, nahitaji msaada kama kuna mtu anamjua mganga wa uhakika anifanyie kazi yangu, kuna waganga huwa nasikia wanatoa watu mabusha, wanatuma majini au kumpa mtu ugonjwa nahitaji mganga wa hivyo.

Hii Dunia ina mengi, na ikifika kipindi cha vita unaambiwa usichague silaha, nahitaji jambo langu likamilike kwasababu kuna watu wanaweza kukukosea heshima mpaka wakapitiliza. Ukimya na subira ni muhimu lakini kuna watu huwa wanaona kama umezubaa.

Nikifanikiwa kazi yangu nitakupa ya shukrani sina hiyana. Watu wa mahubiri hapa sio sehemu yake.

Nawashukuruni naamini nitapata msaada wenu.

Lipa Wema kwa Ubaya kisha utapata majibu yake.

Ukitenda Wema ni Uganga tosha.
 
Back
Top Bottom