Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Soma ukimaliza niulize penye kuhitaji ufafanuziMshana karibu napokea ujuzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma ukimaliza niulize penye kuhitaji ufafanuziMshana karibu napokea ujuzi
Tena ukimpata mganga mwambie amtundike miguu za kuku wa kienyeji kabisa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Poleni na majukumu ya kila siku
Nimekuja na ID yangu hii sina haja ya kujificha
Moja kwa moja kwenye mada,nahitaji msaada kama kuna mtu anamjua mganga wa uhakika anifanyie kazi yangu, kuna waganga huwa nasikia wanatoa watu mabusha, wanatuma majini au kumpa mtu ugonjwa nahitaji mganga wa hivyo
Hii dunia ina mengi,na ikifika kipindi cha vita unaambiwa usichague silaha,nahitaji jambo langu likamilike kwasababu kuna watu wanaweza kukukosea heshima mpaka wakapitiliza, ukimya na subira ni muhimu lakini kuna watu huwa wanaona kama umezubaa
Nikifanikiwa kazi yangu nitakupa ya shukrani sina hiyana
Watu wa mahubiri hapa sio sehemu yake.
Nawashukuruni naamini nitapata msaada wenu
Jusi nilivyozulumiwa pesa zangu nillikukumbuka Sana had nikakutumia pm naona imefungwa mnk hasira nilikuwa nayo siyo mchezo mtu kaniibia mm them kanibadioishia kesi hvhhvNipo hapa tayari mkuu[emoji1545]
Tena ukimpata mganga mwambie amtundike miguu za kuku wa kienyeji kabisa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Jusi nilivyozulumiwa pesa zangu nillikukumbuka Sana had nikakutumia pm naona imefungwa mnk hasira nilikuwa nayo siyo mchezo mtu kaniibia mm them kanibadioishia kesi hvhhv
Afu Uko kuna ule wa radi asee😄Kuna mmoja Yuko ukerewe kule ziwa Victoria yule nilimfahamu kwa kumpitia mdgo ake ambae tulikuwa tunaishi nae hapo kibo
Sasa kipindi fln yule bint aliibia pesa zake na rfk ake na walikuwa wanalala wote bas ikabidi bint ampigie kak ake kule ukerewe ili amjulishe jins pesa zilivyoibiwa bas jamaa akaomba apewe namba aongee na yule bint aliyesadikiwa kuiba bint kakana mazima kuwa hajaiba bas jamaa akasema had jioni pesa zipatikane vinginevyo kitakachompata mtu wasilaumiwe mdg ake bas bhba saa Tisa bint yule aliharisha kila kitu tumboni kwa mfuliliso had akakiri kuwa kkaiba na kusukia nywele pesa za watu
Nimemtafuta bint yule sijapa nmb zake anipe nmb za kak ake
Jusi nilivyozulumiwa pesa zangu nillikukumbuka Sana had nikakutumia pm naona imefungwa mnk hasira nilikuwa nayo siyo mchezo mtu kaniibia mm them kanibadioishia kesi hvhhv
Watu tunaombea mbuyu ulioa kilinge cha waganga hao na unaanguka wenyewe bila kuukata huo ni ukuu wa Mungu, Mungu sio wakumjalibu, vita ni vya bwana wewe kuinhilia kati ni kwamba Mungu humuamini,
Hivi unajua mara zote watu wanaoenda kwa waganga na yale manuizi ni lazima yaje kukutesa lazima yaje kudai damu mbeleni yani linakua kama deni baada ya ewe stuka achana na waganga hujachelewa
Usipoelewa wewe wapo watakaoelewa, maana sio lazima kila atake sikia neno la Mungu na likamuingia maana shetani pia yupo kazini ila wapo litakaowaingia na kulielewa wewe pia usiyasome mahubiri pita pembeni uzi upo hapa kuchangia kuna kila aina ya watu humu, so wewe pambanaAsante kwa mahubiri,ukishtuka wewe inatosha
Wana wa Mungu huu sio uzi wenu[emoji1431]
Ni story ndefu lakini dhuluma hiyo ilifanyika kwa muda mfupi sana.Pole sana mbona hili nalo ni kubwa,ilikuwaje mkuu nyumba mbili zote udhulumiwe?
Usipoelewa wewe wapo watakaoelewa, maana sio lazima kila atake sikia neno la Mungu na likamuingia maana shetani pia yupo kazini ila wapo litakaowaingia na kulielewa wewe pia usiyasome mahubiri pita pembeni uzi upo hapa kuchangia kuna kila aina ya watu humu, so wewe pambana
Dada achana naeRejea comment yako uliniandikia mimi na nimeshasema sitaki USHAURI
Kama ulitaka wasome wengine ungeweka iwe general comment
Uzi ni wa waganga na connections zao sipiti pembeni nipo hapa
Kuna jukwaa la dini peleka mahubiri huko tuletee link hapa watakao penda watafata huko kusoma ujumbe wako
mimi nipo hapa njombe, hii sehem mbona mpya? nipo makumbusho ya njombe ktk kivutio kipya kabuli la hela mingi...Panda gari za njombe...shuka wangama ni kabla ya kufika njombe mjini. Utakutana na kijana anaitwa imma mtoto wa mwandulami.
Bora tu usionee mtu. Kama umeonewa atakupeleka mahali utanena yoote ambayo unataka mbaya wako ayapitie ...
Baada ya muda kweli kama umeonewa utayaona mengi sana yakiyokea.
Namba ya imma nitakupatia ukihitaji.
Ila dhambi yako nisiulizwe.
Kuna muda unaonewa hadi unatamani ufe
sasa mbona timu yetu ya taifa haishindi ina shinda simba tu?Utatoa shukrani gani ili nikuunganishe na mganga konki! Yuko Kwa Msisi Tanga! Yaani hata ukitaka kumgeuza mtu kuwa nyoka, anageuka! Ukitaka kumuweka kwenye chupa, ni dakika 0 tu.
Sharti ni kutakiwa tu kutoa hiyo shukrani isiyo na hiyana, kabla ya kuunganishwa.
Mwandulami nani asiyemjua bwana?? We Google jina lakeemimi nipo hapa njombe, hii sehem mbona mpya? nipo makumbusho ya njombe ktk kivutio kipya kabuli la hela mingi...
Ila dea jaman. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe mimi ni mwanamke sio mume,kama unatafuta mume sio kwenye uzi huu
Nashangaa umekazana na comment zako za shombo unakuwa kama mwanamke vile
Nikaushie kazi ni moja tu nahitaji jambo langu litimie sio bla bla bla
Enhe nikishakubali nimekataliwa wewe ndio umchukue au nini?[emoji3]maana unatunga mpaka uongo isijekuwa mke mwenzangu sikujui
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wee dea bhanaAsante kwa mahubiri,ukishtuka wewe inatosha
Wana wa Mungu huu sio uzi wenu[emoji1431]