The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Abadilishe akili na fikra zake kwanza ili ziwe sawa.Angalia asijekubadilisha mbuzi, mara unaanza meeeh meeeh meeeeeh, me simo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Abadilishe akili na fikra zake kwanza ili ziwe sawa.Angalia asijekubadilisha mbuzi, mara unaanza meeeh meeeh meeeeeh, me simo
Wewe ni mpumbavu na tambua kua ukishaweka thd hapa jf inakua sio mali yako tena na kila member ana uhuru wa kuchangia kwa mtizamo wake,jf ni an open forums,
Unataka kupangia watu nini cha kuandika? Hivi uko sawa kweli wewe? Unataka kuroga mtu wakati wewe mwenyewe ni hamnazo?
Kubali matokea kua umekataliwa,kuroga hakuwezi kukupa faida yeyote,wewe ni masikini wa fikra.
Mkuu kama hili ni la kweli nisaidie muongozo wa kufikaNjoo hpa simiyu Longa Lombogo hautachajiwa hela, hela utaleta mwenyewe baadae ukishaona matokeo
Dunia imepiga hatua kubwa sana kwenye Science na teknolojia,fikra za kuroga ni fikra za Stone age hizo,toka usingizini Dunia inakuacha kwa kasi ya ajabu na mawazo yako ya kimasikini.Poleni na majukumu ya kila siku
Nimekuja na ID yangu hii sina haja ya kujificha
Moja kwa moja kwenye mada,nahitaji msaada kama kuna mtu anamjua mganga wa uhakika anifanyie kazi yangu, kuna waganga huwa nasikia wanatoa watu mabusha, wanatuma majini au kumpa mtu ugonjwa nahitaji mganga wa hivyo
Hii dunia ina mengi,na ikifika kipindi cha vita unaambiwa usichague silaha,nahitaji jambo langu likamilike kwasababu kuna watu wanaweza kukukosea heshima mpaka wakapitiliza, ukimya na subira ni muhimu lakini kuna watu huwa wanaona kama umezubaa
Nikifanikiwa kazi yangu nitakupa ya shukrani sina hiyana
Watu wa mahubiri hapa sio sehemu yake.
Nawashukuruni naamini nitapata msaada wenu
Naona dawa imeanza kukuingia,umeanza kurukaruka kama Kuku aliyekatwa kichwa kisha akaachiwa ghafla,huna utakayemroga kubali matokeo umesha wekwa kushoto,kulia lia jf hakuwezi kubadili kitu kapuku wewe.Wewe mimi ni mwanamke sio mume,kama unatafuta mume sio kwenye uzi huu
Nashangaa umekazana na comment zako za shombo unakuwa kama mwanamke vile
Nikaushie kazi ni moja tu nahitaji jambo langu litimie sio bla bla bla
Enhe nikishakubali nimekataliwa wewe ndio umchukue au nini?[emoji3]maana unatunga mpaka uongo isijekuwa mke mwenzangu sikujui
Abadilishe akili na fikra zake kwanza ili ziwe sawa.
Option namba 2.
Ukishindwa kwa uchawi, tumia ugaidi.
Tafuta njemba, itoe laki 5 mwambie "Oya,Maliza huyo" Icheze kwa akili sana,
Ikiwezekana msijuane wala kuonana wala kuwa na mawasiliano na assassin
Mkuu naomba namba ya Imma. Au nije pm?Panda gari za njombe...shuka wangama ni kabla ya kufika njombe mjini. Utakutana na kijana anaitwa imma mtoto wa mwandulami.
Bora tu usionee mtu. Kama umeonewa atakupeleka mahali utanena yoote ambayo unataka mbaya wako ayapitie ...
Baada ya muda kweli kama umeonewa utayaona mengi sana yakiyokea.
Namba ya imma nitakupatia ukihitaji.
Ila dhambi yako nisiulizwe.
Kuna muda unaonewa hadi unatamani ufe
Huna utakalolitimiza acha kujipa matumaini hewa,kubali matokeo tu,mdomo mchafu ndio maana umetupwa kushoto.We nani bana upange nibadilike,una comment kwenye uzi wa mtu mwenye fikra tofauti na wewe unafanya nini hapa?mi nimewaita wenye fikra sawa na mimi,watu kama wewe nimeshasema piteni kulia
Hapa hakuna cha fikra wala nini mpaka jambo litimie
.ntaanza kuchaj hela...Mkuu naomba namba ya Imma. Au nije pm?
Kwema lakini mrembo....umefichwa wapi huko mwanzaHahahaha utani bwana wewe
Mwanza nsharudi...Kwema lakini mrembo....umefichwa wapi huko mwanza
Naona dawa imeanza kukuingia,umeanza kurukaruka kama Kuku aliyekatwa kichwa kisha akaachiwa ghafla,huna utakayemroga kubali matokeo umesha wekwa kushoto,kulia lia jf hakuwezi kubadili kitu kapuku wewe.
Uishi milele mkuu, ukiwa na nguvu na afya..ntaanza kuchaj hela...
Ila kwa kuwa nami nilipewa bure ntatoa bure. .msije pm
0656644244
Lazima ujibiwe ili usije ukausambaza upumbavu wako na kwa watu wengine.Hakuna dawa yoyote inaweza kuniingia kutoka kwa mtu simjui [emoji23],usijipe umuhimu wewe,upo busy na uzi wa kapuku kama sio kapuku tambaa mbele mbona upo busy kunijibu sasa
Lazima ujibiwe ili usije ukausambaza upumbavu wako na kwa watu wengine.
Huna unalopungukiwa coz huna lolote,sasa upungukiwe nini wakati wewe ni empty?Endelea kujibishana na mimi sina ninalo pungukiwa alafu muda wa kujibu ninao wa kutosha uwanja ni wako mke mwenzangu
Mkuu naomba niko chini yako muache huyu dada. Huwezi jua amekutana na lipi...ni kama unamuongezea mzigo juu ya mzigo. Siku zote kama jambo halijakufika huwezi kuelewa kiatu alichovaa mhusika.Huna unalopungukiwa coz huna lolote,sasa upungukiwe nini wakati wewe ni empty?
Huna unalopungukiwa coz huna lolote,sasa upungukiwe nini wakati wewe ni empty?