Little brain
JF-Expert Member
- Oct 31, 2020
- 4,282
- 6,303
Kuna mtu anatafutwa hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna kitu kwa huyu ndugu yangu
Safi sana. Dunia ya sasa haitaji watu wanyonge wa kulialia kwasababu binadamu wa sasa wamejaa dhuluma, ukatili na kila aina ya ushenzi. Fanya vile moyo wako unavyosema na usirudi nyuma.
Kuna mjinga mmoja, namsubiria ajichanganye nimshughulikie vilivyo.
Njoo hpa simiyu Longa Lombogo hautachajiwa hela, hela utaleta mwenyewe baadae ukishaona matokeo
Panda gari za njombe...shuka wangama ni kabla ya kufika njombe mjini. Utakutana na kijana anaitwa imma mtoto wa mwandulami.
Bora tu usionee mtu. Kama umeonewa atakupeleka mahali utanena yoote ambayo unataka mbaya wako ayapitie ...
Baada ya muda kweli kama umeonewa utayaona mengi sana yakiyokea.
Namba ya imma nitakupatia ukihitaji.
Ila dhambi yako nisiulizwe.
Kuna muda unaonewa hadi unatamani ufe
Uje pm kesho ili nitafute.Hiyo namba nami nipasie
Panda gari za njombe...shuka wangama ni kabla ya kufika njombe mjini. Utakutana na kijana anaitwa imma mtoto wa mwandulami.
Bora tu usionee mtu. Kama umeonewa atakupeleka mahali utanena yoote ambayo unataka mbaya wako ayapitie ...
Baada ya muda kweli kama umeonewa utayaona mengi sana yakiyokea.
Namba ya imma nitakupatia ukihitaji.
Ila dhambi yako nisiulizwe.
Kuna muda unaonewa hadi unatamani ufe
Nami nakuja mkuuUje pm kesho ili nitafute.
Ni mtoto wa yule mwandulami mganga maarufu njombe. Alitibu hadi waliologwa wakawa vichaa. Niliona kwa macho yangu
Upo tayari kuua?Daslam
Njoo kwenye maombi; mpende adui yako kama unavyojipenda wewe
Utatoa shukrani gani ili nikuunganishe na mganga konki! Yuko Kwa Msisi Tanga! Yaani hata ukitaka kumgeuza mtu kuwa nyoka, anageuka! Ukitaka kumuweka kwenye chupa, ni dakika 0 tu.
Sharti ni kutakiwa tu kutoa hiyo shukrani isiyo na hiyana, kabla ya kuunganishwa.
Mwanamke ana busha??Usiniharibie uzi sio mambo ya mapenzi bwashee
Hili ni jambo jingine Mbona unaweka meme kama vile nateseka na mapenzi weuwee [emoji3][emoji3]
Mlengwa wangu ni wa kike
Mkimpata mnisaidie na mimi maana nimedhulimiwa nyumba 2 na viwanja 4
Tambua kua ukishaweka thd hapa jf inakua sio mali yako tena na kila member ana uhuru wa kuchangia kwa mtizamo wake,jf ni an open forums,Unaniuliza maswali ya kiwaki ndio maana unaonekana kituko,nimeshasema sitaki mahubiri unaniletea maswali,punguza shobo pita kushoto,niandike mimi alafu nikurupuke mimi au umekurupuka wewe ambae unaleta maswali ya mahubiri hapa?
Asante sanaDuh pole sana...haya ndio mambo walimwengu wanakujaribu....